kukumdogo
JF-Expert Member
- Feb 1, 2011
- 2,866
- 2,746
Mabibi na mabwana mkandarasi aliyejenga uwanja wa mwanza ni Engineer Omary Chambo ambaye kwa sasa ndio katibu mkuu wizara ya uchukuzi. Wakaguzi kutoka TCAA walisema toka mwanzo kuwa uwanja upo chini ya kiwango na Engineer achukuliwe hatua ila hakuna chochote kilichochukuliwa. Kwahiyo mtu wa kuwajibika ni Eng Omari Chambo katibu mkuu uchukuzi.