Engine za 3S ( D4 ) Zina Matatizo Gani

Head teacher

JF-Expert Member
Mar 10, 2012
1,796
411
Kuna gari ninataka kuinunua ina engine imeandikwa D4, ila ni 3S, mafundi wananitaadharisha nisinunue, itanisumbua. Hawaweki wazi tatizo lake. Msaada kwa wanaoifahamu, je ina matatizo gani?
 
Katika huu ukurasa wa siasa hizo engine zinaenda na mikiki miki ya ki-CDM CDM.
UIkininua utajuta kwa migomo yake'!
 
Kuna gari ninataka kuinunua ina engine imeandikwa D4, ila ni 3S, mafundi wananitaadharisha nisinunue, itanisumbua. Hawaweki wazi tatizo lake. Msaada kwa wanaoifahamu, je ina matatizo gani?


Duh mkuu mbona kali hii kwenye jukwaa hili. Ngoja tuiondoe sasa hivi iende inakotakiwa
 
Ilishawahi kujadiliwa kwa undani hii ishu ya injini za D4 humu ndani, subiri wataalamu watakuja tena na kukufafanulia.
 
Mafuta ya. Bongo wasiwasi na Mafundi wa D4. Hakuna...ukinunua D4 tembea na tool Box na fuel nozell n Pump kama 50 ivi

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Ninachokumbuka ni kuwa hakuna mafundi wa uhakika wa gari zenye injini hiyo hapa nchini.
 
Hizo injin ni kama CDM unajua itakufa lakini haijulikani wakati gani. Epukana nayo kama watanzania wenye akili walivyo epukana na CDM.
 
Injini za D4 ni kama injini ya gari moja inaitwa RVR zote nivmtori sana na kama mafundi wamekushauri wanajua unataka kupigwa changa la macho tu mkuu.

Na kama ukinunua jua umenunua body ila kubadili engine kunakuhusu. Kimbia kabisa achana na maenginw ya D4 hayafai.
 
Ninachokumbuka ni kuwa hakuna mafundi wa uhakika wa gari zenye injini hiyo hapa nchini.

hii ni kweli mkuu,mjapani hakutengeneza injini mbovu ni kwamba uwezo wa mafundi wetu ni mdogo hapo na isitoshe hawako tayari kujifunza vitu vipya kabisa..me nilitegemea iwape challenge ya kujifunza zaidi wao wamekariri tu mbovu... me nnayo mwaka wa nne sasa ishakufa senser tu na nilibadilisha but mpaka kesho watu wanasema itanisumbua...gari ni matunzo mkuu...
 
3S ni injini poa sana.RAV4 nyingi ni 3S.D4 mgogoro unakuja kuwa mafundi wengi wa bongo ni vilaza lakini ni injini poa tu.sema uwe na uhakika wa kujaza mafuta BP,maana haya mafuta yetu utaishia kupata miss kila siku.Ijapokua siku hizi kuna mafundi wengi Dar wanazijulia.sijajua kwa mikoani.
 
D4 ni (Direct injection 4 stroke engine) kwa Toyota na GDI (Gasoline Direct Engine) kwa Mitsubishi


Kampuni hizi mbili walikaa pamoja wakakubaliana kutengeneza engine yenye ufanisi mkubwa na kutumia mafuta machache na kufanya vizuri kwa spidi pia kuwa na emmision ndogo(euro 2-3),
Walichokifanya hapa ni kuruhusu injection iwe direct kama engine za diesel kwa ku-inject mafuta mengi kwa interval kwenye combustion chamber
Sasa shida inakuja watumiaji wa kwetu wanatumia mafuta ambayo si salama kwa engine husika ambayo inafanya kujaza mabaki ya carbon,wakati engine ikaperform sasa kwa kua inafanya kwa interval mafuta yanaenda kidogo kidogo inaanza kumiss na kupunguza nguvu na kwakua inatumia umeme,ikifanya hivyo mara kadhaa ina fail,ikifikia hapo lazima uivute,
sasa mafundi wetu hawajui hilo ama jinsi ya kutengeneza ikisumbua

Ushauri-usinunue
 
D4 ni (Direct injection 4 stroke engine) kwa Toyota na GDI (Gasoline Direct Engine) kwa Mitsubishi


Kampuni hizi mbili walikaa pamoja wakakubaliana kutengeneza engine yenye ufanisi mkubwa na kutumia mafuta machache na kufanya vizuri kwa spidi pia kuwa na emmision ndogo(euro 2-3),
Walichokifanya hapa ni kuruhusu injection iwe direct kama engine za diesel kwa ku-inject mafuta mengi kwa interval kwenye combustion chamber
Sasa shida inakuja watumiaji wa kwetu wanatumia mafuta ambayo si salama kwa engine husika ambayo inafanya kujaza mabaki ya carbon,wakati engine ikaperform sasa kwa kua inafanya kwa interval mafuta yanaenda kidogo kidogo inaanza kumiss na kupunguza nguvu na kwakua inatumia umeme,ikifanya hivyo mara kadhaa ina fail,ikifikia hapo lazima uivute,
sasa mafundi wetu hawajui hilo ama jinsi ya kutengeneza ikisumbua

Ushauri-usinunue

Nakushukuru kwa elimu uliyotoa na ushauri bora. Hapa ni kuachana nazo, isije ikainpata kama ilivyompata rafiki yangu mmoja mwenye gari furani, yapo machache sana hapa tz, yeye anatafuta fundi na spear, wanamwambia mafundi wapo Arusha na spear zipo nairobi, yaan ni taabu
 
Hizi injini huwa zinaonyesha failure kwa kiwango kikubwa hapa kwetu bongo na Afrika kiujumla, nadhani ni kwa ajili ya hali ya hewa.
Uwekaji wa mafuta hapa bongo, ni mara chache sana mtu anaweka full tank, hizi injini zinahitaji maafuta yawe full tank ili gari liwe jepesi, mafuta ya magumashi gari linakuwa nzito na halina speed.
Wengi wa mafundi wa kibongo ni wababaishaji, hawana elimu ya kutosha, hizi injini ni full umeme, mafundi wengi wanazikimbia kutengeneza hizi injini.
Kaka kama utanunua na litakuwa linakusumbua, jua utasumbuka kumpata fundi wa kutengeneza.
 
Nakushukuru kwa elimu uliyotoa na ushauri bora. Hapa ni kuachana nazo, isije ikainpata kama ilivyompata rafiki yangu mmoja mwenye gari furani, yapo machache sana hapa tz, yeye anatafuta fundi na spear, wanamwambia mafundi wapo Arusha na spear zipo nairobi, yaan ni taabu


Thanks kwa kuelewa!,mitsubishi zote zilizoandikwa GDI(i.e IO pajero,RVR,Dion.....etc etc etc) ni sawa sawa na Toyota zote zenye D4(ie 3S-FSE engine unayopata kwenye premio,nadia,vista
mostly ardeo)
1JZX hii ni JZX110(mark 2 grande yenye VVTi)-yaani GX110 super charger yake,
Zipo pia kwenye 1AZ engines(opa ya 2.0,rav4 kilitime 2000+,voxy,noah ....)

So anytime you feel like asking feel free
 
Back
Top Bottom