- Thread starter
- #21
ukiwa na pesa basi chagua ya bei ya juu yaani ndio itaonyesha unamvalue
sio uwe na pesa then unaenda kununua the cheapest
Asante Mbongopopo, nitajitahidi ninunue ya bei ya juu kwani namthamini sana mpenzi wangu na pia nampenda sana. Ngoja nijipange fresh, i hope ataifurahia.