Qixima mQiqa
Senior Member
- May 18, 2012
- 178
- 20
Huyu mama atajipendekeza sana mwaka huu hadi ashikwe na aliwe ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You must be out of your mind. Nyie ndio mmeonyesha upuuzi wa hali ya juu
Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi. Pia amesisitiza waliompiga ulimboka walikuwa na jezi "magwanda" kama ya chadema.
Tumshukuru huyu mama kwa kubainisha.
mabumba amesababisha hasara kwa wananchi.
Watu mevunja tv zao kwa hasira.
Biased! Biased! biased!
Not at all Eliza, ndiyo maana nasema mwisho wa siku watu mnaweza kutwangana ngumi. Maana kuna watu hawataweza kuvumilia hizo biases za waziwazi kiasi hicho.
Teh teh, nimeona Mnyika anamtaka Manyanya atangaze kwamba Polisi ni wa CHADEMA!!
Ningekuwa hivyo usingekubali niwe mumeo, mume lazima aheshimiwe
Wakati anachangia Stella Manyanya alihusisha Chadema na mgomo wa Madaktari ndipo John Mnyika alipotoa taarifa kuwa yeya akiwa Kiongozi wa CDM anasimama na kuhakikisha kuwa taarifa hizo ni za uongo na....yaani kutokea hapo ikawa valuvalu mara naye Mwigulu akasimama na kutoa madai ya uongo eti CDM kwenye hotuba yao kuna ushahidi wa kutoa sapoti ya mgomo huo...
Manyanya naye akaendelea kuchangia kuwa eti waliomvamia Ulimboka walikuwa wamevaa magwanda ya CDM....Mwenyekiti naye akawa anawaunga mkono, wabunge wakaanza kupiga kelele, Machali akatolewa nje...
Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi. Pia amesisitiza waliompiga ulimboka walikuwa na jezi "magwanda" kama ya chadema.
Tumshukuru huyu mama kwa kubainisha.
Sina shirika na Mabumba type.....teh
kinacho nishangaza mkuu hapa ni kwamba kuwa walisema swala la migomo liko mahakama na wao ccm ndo wamelianzsha why?
sasa yeye ana ushahidi gan kusema waliomtesa ulimboka walikuwa wamevaa
magwanda!? Kama sio uvumi
na kama uvumi Mnyika kasema vyombo vya habar vimendika pamoja na wamemrekod Ulimboka mwenyewe kuwa waliomtesa ni police! Why?
Ikabdi wamkalishe kwa ubabe wao!
kwa hiyo MUNGU ndo alimpeleka dr uli Mabwepande akamng'oa kucha na meno?kwakweli watu wanamdhihaki Mungu na adhabu juu yao itakua kali sanaHuyu mama vyeo alivyopewa na JK ndo vinamzuzua.......hala lolote, Nimemshangaa sana kusema Ulimboka amepewa hiyo adhabu ya kipigo na mwenyenzi Mungu, Huyu mama kachangalikiwa. Mungu endelea kuwapiga upofu. Ukombozi is around the corner.