mchumia tumbo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 1,457
- 471
Kiukweli kama umemisi comedy unaweza cheki bunge ukapata furaha.Maana ya uwakilishi wa wananchi umeisha,mwenyekiti wa kikao hana busara anaropoka mfano"mnyika kaa chini usitake umaarufu".
Sijajua kwanini amemtoa machali(MB)
Kwa bunge hili hakuna maendeleo.
Sijajua kwanini amemtoa machali(MB)
Kwa bunge hili hakuna maendeleo.