Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
- Thread starter
- #21
Wadau tumshukuru huyu mama kaweka wazi bila kuficha. Haiwezekani siasa iue wananchi wetu kiasi hiki.
Yaani sasa ni mambo yanaenda ndivyo sivyo inaonyesha jinsi walivyoshikwa pabaya sasa wanatumia any means necessaryNimeshangaa mwenyekiti kamuacha manyanya anaongea wakati wengine wanaambiwa liko mahakamani. Ni upendeleo wa uwazi.
Ndio ushutumu chadema? kwanini asianze kushutumu chama chake kwa kutotimiza ahadi zao?Wadau tumshukuru huyu mama kaweka wazi bila kuficha. Haiwezekani siasa iue wananchi wetu kiasi hiki.
Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi
Uinjinia mwingine bwana mashaka matupu! Nafikiri ulipatikana kwa staili ile ile ya kuegemea kwa wenye uwezo.. maana hata ule umaarufu kwenye kamati teule ya "richmond" aliupata tu kwakuwa kulikuwa na wenye uwezo ndani ya kamati.Mbunge stella amesema wazi chadema wanahusika na migomo ya madaktari, pia amesema mungu amemuepusha ulimboka kwa kupata kipigo maana ni kama hiltler wa tanzania kwa kuendesha migomo yenye kuumiza wananchi
Wadau tumshukuru huyu mama kaweka wazi bila kuficha. Haiwezekani siasa iue wananchi wetu kiasi hiki.
Huyu Mabumba.....................ni useless kabisa na huyo Mwigulu ni boya kabisa..............MADNESS