Eng. Stella Manyanya ana maslahi gani kwa wafanyabiashara wa Mafuta?

analysti

JF-Expert Member
Aug 24, 2009
729
612
Jana nilisikitika sana kUmsikia Eng. Stella Manyanya akiwatetea wafanya Biashara ya Mafuta wakati wa Mjadala wa dharura Bungeni kuhusiana na Mgomo wa Hawa wtu. Nikafikiri Ameghafirika, Lakini sasa hivi naangalia kipindi cha Jambo TZ, TBC1, Naona huyu Mama anaendelea kujitahidi kuwatetea hawa wafanya biashara walionifanya hata mimi nishindwe kwenda shamba leo kwani trekta halina mafuta.

Huyu mama anasema ati kuwe na majadiliano, for how loooong!!! Mama cmooon!!!. Huyu mama anamaslahi gani kwa hawa watu???. Wabunge wenzake wote wameoneshwa kuguswa na hili swala, isipokuwa yeye.

Huyu mama anajali zaidi maslahi ya hawa wafanya biashara kuliko well being ya watanzania wakulima kama sisi.

AAAAAAAAAAAAAAGGGGGGGGGGGGGGGHHHHHHHHHHHHHRRRRRRRRRRRRRRRRRR.
 
Binafsi kwa kweli katika wabunge bomu kwa sasa ni pamoja na huyu mama kumbe alikuwa anaburuzwa tu na akina mwakyembe sasa tunaona ngozi yake eng fake kabisa
 
CV yake please!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Itatusaidia kujua yuko wapi?
 
Umaarufu ulikuwa wa kuambukizwa na akina Mwakyembe. Tangia bunge hili lilipoanza nimeona huyu mama akichemka sana, hasa katika kuomba mwongozo wa spika akikosoa hoja za upinzani. Hili la jana na asubuhi hii ya leo ndo nimechefuka. This lady is hopeless!!!
 
ukweli ni kwamba serikali bado inadanganya wananchi kuhusu suala la mafuta
Serikali hii haijawahi kuwa honest kwa watanzania hata siku moja. Siku zote inaamini wataanzania ni wajinga na waelevu wa chache hawana nguvu ya kufanya chochote.

Tunasubiria swala la bajeti ya ngereja, amini usiamini kitakacholetwa na kupitishwa ni usanii mtupu na kitakuwa kilekile kilichokataliwa kikiwa na figure za uongo ambazo wala hazitzkuwa na pesa halisi. kinachoendelea sasa hivi ni kuangalia upepo umekaaje iliwaichomeke hii bajeti ipite. Inauma sana!
 
Serikali hii haijawahi kuwa honest kwa watanzania hata siku moja. Siku zote inaamini wataanzania ni wajinga na waelevu wa chache hawana nguvu ya kufanya chochote.

Tunasubiria swala la bajeti ya ngereja, amini usiamini kitakacholetwa na kupitishwa ni usanii mtupu na kitakuwa kilekile kilichokataliwa kikiwa na figure za uongo ambazo wala hazitzkuwa na pesa halisi. kinachoendelea sasa hivi ni kuangalia upepo umekaaje iliwaichomeke hii bajeti ipite. Inauma sana!

Wabunge wa CCM wameshaagizwa kwamba ni Bora Punda avunjike lakini Mzigo Uvuke, so budget lazima ipite by hooks and crooks!! Tusitarajie chochote kipya!!
 
1. Serikali inavuta pumzi kwa sababu jamaa wali donate kiasi kikubwa cha hela kwa wabunge na Raisi hasa CCM
2. Viigogo wengi Serikalini wanamiliki au wana shares kwenye vituo hivyo vya mafuta- kazi ipo.
 
Huyu mama ameshatumiwa sana mpaka amekuwa rubbish, hana thamani tena ndio maana huwa anaamua kuropoka kila linalokuja kwenye ubongo wake. She is sick!!!!!
 
Eng. Manyanya ana haki ya kuwatetea si waliwachangia kwenye fedha za kampeni mwaka jana kwa hiyo anayosema katumwa na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi.......

...usimshangae pia anaweweseka kupoteza umaarufu wa kisiasa rejea mchango wa Deo Filikunjombe wakati wa bajeti ya wizara ya uchukuzi Filikunjombe aliposema atahamasisha maandamano Ludewa kupinga bajeti hiyo ilyoletwa bungeni na serikali ya CCM lkn Manyanya aliomba mwongozo na akaongea ujinga kabisa eti akumbuke mm ni kiongozi wake katika chama cha magamba na chama chetu hakiaamini katika siasa za maanadamano!

Nilimdharau kwa sababu Filikunjombe aliongea kama mtanzania halisi lkn yye akatoa mwongozo wa kijinga kabisa
 
Huyu mama ana njaa, anadhani kujipendekeza kwa matajiri kutamsaidia, hastahili kuitwa Eng.
 
Nadhani tumesahau Meya wa jiji amesha sema wabunge wanafikili kwa kutumia makalio sasa sijui mnataka huyu mama aseme nini ikiwa hana ubongo.... na ndiyo maana ni wa kiti maalum.
Serikali yetu hawezi kuwafanya lolotehawa wauza mafuta na hili tatizo wanalitengeneza wenyewe.
 
Jana nilisikitika sana kUmsikia Eng. Stella Manyanya akiwatetea wafanya Biashara ya Mafuta wakati wa Mjadala wa dharura Bungeni kuhusiana na Mgomo wa Hawa wtu. Nikafikiri Ameghafirika, Lakini sasa hivi naangalia kipindi cha Jambo TZ, TBC1, Naona huyu Mama anaendelea kujitahidi kuwatetea hawa wafanya biashara walionifanya hata mimi nishindwe kwenda shamba leo kwani trekta halina mafuta.

Huyu mama anasema ati kuwe na majadiliano, for how loooong!!! Mama cmooon!!!. Huyu mama anamaslahi gani kwa hawa watu???. Wabunge wenzake wote wameoneshwa kuguswa na hili swala, isipokuwa yeye.

Huyu mama anajali zaidi maslahi ya hawa wafanya biashara kuliko well being ya watanzania wakulima kama sisi.

AAAAAAAAAAAAAAGGGGGGGGGGGGGGGHHHHHHHHHHHHHRRRRRRRRRRRRRRRRRR.

Hebu angalia ili swala upya na kwa umakini. Aliyekusababishia usiende shamba sio wauza mafuta bali ni serikali legelege chini ya chama legelege.
Hebu tuangalie ili swala kwa makini tusikurupuke kwenye kufikiri.
 
Huyu mama ameshatumiwa sana mpaka amekuwa rubbish, hana thamani tena ndio maana huwa anaamua kuropoka kila linalokuja kwenye ubongo wake. She is sick!!!!!

Ametumiwa vipi mkuu?!!!

Sidhani kama una maana ni 'kiviiile!!!'
 
Juzi niliandika juu ya mrema na changes yake attitude ya ghalfla kutoka kwenye kuibana serikali juu ya ubadhirifu na kuhamasisha wananchi haki zao na kwenda kwenye kuitetea serikali kwa nguvu zake zote ilhali hali ya sasa huenda ni ngumu kuliko ile ya wakati ule......na kibaya zaidi kuwakosoa na kuwasimanga watu wanaopigania rasilimali zetu...nikasema ni ajabu sana, tena ni zaid ya ajabu ila kwa haraka haraka tuna haki sisi tuliomwamini kabla na kumfutilia kuamini kuwa amenunuliwa....nini kibadilishe mtazamo wake ghafla? nje ya fedha?

Sasa leo tuna huyu mwana mama ambaye ktk bunge lililopita alijipambanua kuwa mpiganaji na kufa na kupona against ufisadi...alitufikisha mbali zaidi pale alipoamua kujiuzulu nyadhifa zake fulani fulani TANESCO ili awe huru ktk uchunguzi wa richmond.....nilishtuka sana na kughabikika sana kwa staili aliyoanza nayo ktk bunge la 10.....ni kutoa HOJA ZA KUJIPENDEKEZA KWA WATAWALA hata pale ambapo angeweza kukaa kimya....kila akiinuka ujue either anatetea serikali au anaomba mwongozo ili kushambulia wapinzani au yeyote aliye challenge serikali....juzi alisimama kumpa taarifa MhFilikunjombe kwenye bajeti ya uchukuzi pale alipotishia kuandamama, STELLA MANYANYA aliamka nakumwambia kuwa 'CHAMA CHETU SI CHA MAANDAMANO, TUNA NAMNA YA KUDAI HAKI ZETU! Nilimshangaa sana huyu stela, hivi alidhani Filikunjombe hajui taratibi za ccm za kuwasilisha mawazo? mpaka alifikia hatua ya maandamano maanake alijua kwa taratibu zile asingeweza KUTOA KILIO CHAKE
Stela anadhani maandamano ni sera ya chama fulani......anasahau kuwa ni haki ya kikatiba....huyu naye anajiunga kwenye kundi la kina Mrema, 'WASAKA MATONGE' kwa umoja ni MSAKA TONGE

Mix with yours
 
Huyu ni mama tu(mwanasiasa) wala sio Eng. anatudharaulisha ss maEng.
mwanzo ilikuwa nguvu ya soda, kumbe nae mchafu tu.
hana jipya ndomana akapigwa chini ubunge jimboni mwao wanainch wa kule walishamstukia kuwa ni kirazaa tu ila anatumia jina kubwa la Eng. kuwatisha wananchi.
Na magamba wakaamua kumpa viti maalum ili aendelee kuwatetea


"changes begins wt u"
 
Ametumika mno hadi amezeeka kiasi mabosi hawamtamani tena sasa anafikiri kuendelea kuwemo viti maalum ni kujipendekeza kijinga
 
Back
Top Bottom