Eng Mhando voted best East African power Utility CEO

Mbona hiyo Tech ameikuta ilikuwa implemented na Dr Idrissa?na ilikuwa mwaka 2009 November ndipo walipofunga smart meter na Luku kuuzwa mtaani kwenye PoS
 
In the just ended EAPC Forum Uganda , Our very own Eng Mhando has been voted as the best EA CEO for power Utility surpassing fellow Umeme and KLPC CEO's!!
Congratulations Eng Mhando!!

Vigezo vya kumchagua

1. New technologies such as smart meters ( MRI ) no other EA country has those, these meters are 'smart' bcoz they are read from source, disconnected and recconected from source, all large powers users have them up to mid business owners, if you even temper with it a signal is sent immediately describing nature of tempering done e.g door opened etc


2. LUKU roll out...wenzetu bado wako kwenye conversion meters...


3.Different ways to pay bills through banks and third party vendors such as MPesa etc


4. Perfomance Development Programme for Dar & Coast regions

I submit.
Sawa, naona kikubwa alichofanya ni kununua na kuinstall new/modern electrical gadgets bila shaka kutoka kwenye masoko ambayo na wenzetu wanayafahamu, now lets move deeper, hii imelisaidiaje shirika pamoja na wadau wake katika kupunguza gharama za uendeshaji in comparison kwa wenzetu ili tuweze kujua kama anastahili hiyo tuzo au hiki nacho ni kiini macho, isije kuwa ni moja ya matumizi ya ovyo/yasiyo na tija kwa watanzania na ambayo hidden agenda yake ni kutengeneza mianya ya rushwa za kimanunuzi.
 
Back
Top Bottom