Duh, mkuu nikisikia hilo jina moyo unalipuka kwa hasira. Kuna ndugu yangu ana eneo kule alichukua mkopo bank akajenga huko ilikuwa weekend iliyopita ahamie ila huwez kuamin zile vurugu za juzo mjengo umevunjwa uko chini na yeye yuko lock up kwa kushirikik mkutano ambao inasemekana haukuwa halali.
mkuu sijui lakini labda niseme kitu kimoja, watu wananunua maeneo toka kwa watu kumbe ni wavamizi. Hili eneo ninalouza ni kati ya maeneo yaliyokuwa yamevamiwa. Nilinunua hili eneo nikiwa masomoni nje ya nchi nikamweka mtu wa kulilinda ajabu narudi nakuta kalijimilikisha wakati nina hati ya eneo langu. njia za kidplomasia zkashindikana tukaungana watu wote tuliovamiwa maeneo yetu tukaenda mahakamani ndiyo wakaambiwa warudishe maeneo yetu.
Mimi nashauri usinunue eneo bila kupewa hati au kwa mtu hivi hivi. Maeneo mengi watu wanakuwa wameyavamia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.