Kabwela
Member
- Feb 11, 2008
- 76
- 5
Wakati kamishna wa zamani wa madini akiukwa ubunge huku akiwaahidi wananchi wake kuwagawia maeneo ya kuchimba akiwa nje ya ulingo ambapo hakufanya hivyo akiwa wizarani. Serikali yetu imetua ruhusa kumpa muwekezaji eneo lililokiwa linatumiwa na wachimbaji wadogo wa dhahabu mkoa wa Tanga FYI:
http://www.marketwatch.com/story/canada-gold-receives-conditional-tsx-venture-exchange-approval-for-the-acquisition-of-700km2-of-prospecting-licenses-in-tanzania-2011-10-13
Hivi serikali yetu itawawezesha lini wachimbaji wadogo wetu kuweza kuyatumia maeneo yetu kwa faida yetu wenyewe. Au watanzania tufaidi madini yetu zaidi ya 3% tunayoambulia sasa kutoka kwenye mrahaba.
http://www.marketwatch.com/story/canada-gold-receives-conditional-tsx-venture-exchange-approval-for-the-acquisition-of-700km2-of-prospecting-licenses-in-tanzania-2011-10-13
Hivi serikali yetu itawawezesha lini wachimbaji wadogo wetu kuweza kuyatumia maeneo yetu kwa faida yetu wenyewe. Au watanzania tufaidi madini yetu zaidi ya 3% tunayoambulia sasa kutoka kwenye mrahaba.