MAKOLE
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 618
- 280
Kwa wadau wanafanya biashara ya Hoteli za Kitalii au Beach. Lipo eneo la Ekari tano lililopo Kikokwe- Pangani. Eneo hilo linaambatana na maeneo yenye Beach za kisasa za Ushongo Hotels (Emayan Beach, The Tides, na Coco Beach-Pangani)
Eneo hilo pia tayari linapakana na mahotel mengine ya kitalii. Kwa aliyetayari, mwenye nia ya kuwasiliana kwa ajili ya biashara tafadhali ni PM then tutaongea.
Eneo hilo pia tayari linapakana na mahotel mengine ya kitalii. Kwa aliyetayari, mwenye nia ya kuwasiliana kwa ajili ya biashara tafadhali ni PM then tutaongea.