Endgame In ODM as Raila drops Ruto?

"The reshuffle has consolidated G7 as a de facto opposition. It has been dismissed by both principals. It is very clear that the leader of the opposition will emerge to be William Ruto and the leaders of the G7 will contest the next elections essentially from the standpoint of opposition."

I fully subscribe to this view.......................
 
Kenya effect ya udini kwa mantiki ya Ukristo na uislam ni ndogo sana, kutokana na sensa rasmi ya mwaka 2009, Wakenya walijitambulisha kwa dini zao kama ifuatavyo;

Christian-Protestant 48%
Roman Catholic 23%
Other Christians 12%
Muslims 11%
Indigenous beliefs 2%
Others 4%

Hivyo kwa mchanganuo huu utaona kuwa Wakristo ni almost 83% wakati Waislam ni 11% tu..

Uislamu wa Kenya ni kule mwambao ambao wanataka kujitenga baada ya wakristu kuwabana mbavu.........................mwambao wanataka kurudi Zanzibar of all the places...............yaani kabla ya 1964 accord kati ya british na Sultan wa Zanzibar...................madai yao ni kuwa hawakushirikishwa........................................hili labda mahakama ya kimataifa ndiyo yaweza kutoa suluhu..................
 
Haya mkuu nimekubali yaishe! Hakika Kenya unaijua vizuri na haubahatishi.Nadhani hata hii jumuiya ya Africa mashariki itakuwa kama urafiki wa mashaka vile kwani wenzetu ni wabaguzi sana.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Usidhani. Huo ndo ukweli!! kuna ubaguzi wa kikabila kuliko maelezo.
 
Back
Top Bottom