Endesha+Simu=Kifo =msemo hovyo kabisa

MAMESHO

JF-Expert Member
Jul 5, 2011
1,366
1,622
nimeshikitika kuona vibandiko hivi yva magari. endesha+simu=Kifo. nafahamu kwamba ajali zimetokea kwa matumizi ya simu wakati madereva wanaendesha. ila waliounda msemo huo nauchuklia kwamba ni matishio yasiyo na msingi. ambacho kingepaswa kufanyika ni kuwaeleza madereva nini cha kufanya badala ya kuwatishia. vipo vibandiko vizuri mfano: endesha kwa usalama. na vingine vingi ambavyo vinatoa mawazo chanya kwa madereva ambayo yanahimiza mabadiliko badala ya kuwatishia. au wadau manaonaje? huu ni mtazamo wangu binafsi
 
nimeshikitika kuona vibandiko hivi yva magari. endesha+simu=Kifo. nafahamu kwamba ajali zimetokea kwa matumizi ya simu wakati madereva wanaendesha. ila waliounda msemo huo nauchuklia kwamba ni matishio yasiyo na msingi. ambacho kingepaswa kufanyika ni kuwaeleza madereva nini cha kufanya badala ya kuwatishia. vipo vibandiko vizuri mfano: endesha kwa usalama. na vingine vingi ambavyo vinatoa mawazo chanya kwa madereva ambayo yanahimiza mabadiliko badala ya kuwatishia. au wadau manaonaje? huu ni mtazamo wangu binafsi

Tatizo lipo wapi?Lengo ni kuwa tahadharisha madereva wasiendesha wakiwa wanapiga simu!
 
nimeshikitika kuona vibandiko hivi yva magari. endesha+simu=Kifo. nafahamu kwamba ajali zimetokea kwa matumizi ya simu wakati madereva wanaendesha. ila waliounda msemo huo nauchuklia kwamba ni matishio yasiyo na msingi. ambacho kingepaswa kufanyika ni kuwaeleza madereva nini cha kufanya badala ya kuwatishia. vipo vibandiko vizuri mfano: endesha kwa usalama. na vingine vingi ambavyo vinatoa mawazo chanya kwa madereva ambayo yanahimiza mabadiliko badala ya kuwatishia. au wadau manaonaje? huu ni mtazamo wangu binafsi

Watu wengine bwana mnachekesha sana sasa hapo tatizo liko wapi unaambiwa ukweli unataka ubembelezwe kwa nini? Kwani ni uwongo watu wanakufa kweli na siyo hizo brabra unazozitaka wewe kuweni wataarabu kwa kuunga mkono juhudi za watu makini kupunguza ajali za kizembe hasa kwenu vijana ambao kwenu sheria ni kikwazo kila kitu mnaita haki za binadamu washawishi wajinga kama wewe muandamane hvyooooooooooooooooooooooooooooooooo utafikiri umelata kitu cha maana pole sana
 
baada ya kushikitika..pendekeza basi usemi sahihi kamanda:pizza:
nimeshikitika kuona vibandiko hivi yva magari. endesha+simu=Kifo. nafahamu kwamba ajali zimetokea kwa matumizi ya simu wakati madereva wanaendesha. ila waliounda msemo huo nauchuklia kwamba ni matishio yasiyo na msingi. ambacho kingepaswa kufanyika ni kuwaeleza madereva nini cha kufanya badala ya kuwatishia. vipo vibandiko vizuri mfano: endesha kwa usalama. na vingine vingi ambavyo vinatoa mawazo chanya kwa madereva ambayo yanahimiza mabadiliko badala ya kuwatishia. au wadau manaonaje? huu ni mtazamo wangu binafsi
 
wangesema, kuendesha huku ukizungumza kwenye simu ni chanzo cha ajali, nadhani walitaka watumie maneno machache kufikisha ujumbe, unfortunately ndo ikawa hivyo...wawie radhi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom