Baada ya upelelezi wa kina wa muda sasa, vyanzo vyetu vimebaini kwamba, waziri wa mambo ya ndani, Mh. Lawrence Masha, akishirikiana na baadhi ya wabunge ndani ya CCM, wameanza kuandaa mikakati kabambe kumgoa Rais Jakaya Kikwete mwaka 2010.
Hadi sasa, Bw. Masha, tayari umeshaandaa viongozi katika kila Mkoa nchini watakao msaidia katika kampeni yake. Imebainika kwamba, Masha, akishirikiana na baadhi ya viongozi wanaoshutumiwa na ufisadi, wamekuwa wakikutana katika hoteli moja, nje kidogo ya jiji la Dar ili kubuni mbinu zaidi.
Wakisaidiwa na billionea mmoja, kadhalika kundi la Masha, limepanga kuwaonga wengi wa Wabunge ndani ya CCM ili kumuunga mkono, na habari za kumfilisi Mengi, ni habari za kumpiga JK changa la macho.
Mmoja wa wanakamati linaloongozwa na Masha mwenyewe kama mwenyekiti, ndiye aliyevuja hizi habari. Inasemekana huu ni mwezi wa 5 tangu hii shuguli ianze.
Kadhalika, Masha anaandaa kundi la wasomi walioko Uingereza ambao pia wanaandaa mikakati ya kujivutia ushindi dhidi ya JK. .. tutawataarifuni na maendeleo zaidi.
Hadi sasa, Bw. Masha, tayari umeshaandaa viongozi katika kila Mkoa nchini watakao msaidia katika kampeni yake. Imebainika kwamba, Masha, akishirikiana na baadhi ya viongozi wanaoshutumiwa na ufisadi, wamekuwa wakikutana katika hoteli moja, nje kidogo ya jiji la Dar ili kubuni mbinu zaidi.
Wakisaidiwa na billionea mmoja, kadhalika kundi la Masha, limepanga kuwaonga wengi wa Wabunge ndani ya CCM ili kumuunga mkono, na habari za kumfilisi Mengi, ni habari za kumpiga JK changa la macho.
Mmoja wa wanakamati linaloongozwa na Masha mwenyewe kama mwenyekiti, ndiye aliyevuja hizi habari. Inasemekana huu ni mwezi wa 5 tangu hii shuguli ianze.
Kadhalika, Masha anaandaa kundi la wasomi walioko Uingereza ambao pia wanaandaa mikakati ya kujivutia ushindi dhidi ya JK. .. tutawataarifuni na maendeleo zaidi.