Hawa jamaa ni wazuri wako sharp sana na very organized.Try this one
Hawa jamaa ni wazuri wako sharp sana na very organized.Try this one
Habari wana JF.
Natafuta employment agencies hapa Tanzania.
Nataka kutuma CV yangu.
Msaada wenu unahitajika
Fikiria pia kujiajiri.......mimi nipo kwenye process ya kujiajiri mwenyewe...kutokana na kutokuwa na mtaji mkubwa nilisajili kampuni pale TCCIA .nilipata link ya kuwa agent wa ku-distribute building materials(of very high quality) European Standards...mwanzo ilikuwa ngumu kuaminika na kueleweka hapa nchini,lakini sasa watz wameanza kunielewa napata orders nyingi ....karibu
utume cv iliuombe kazi au?siku hi makampuni karibia yote yanatumia email kupata cv za waombaji kazi...
Fikiria pia kujiajiri.......mimi nipo kwenye process ya kujiajiri mwenyewe...kutokana na kutokuwa na mtaji mkubwa nilisajili kampuni pale TCCIA .nilipata link ya kuwa agent wa ku-distribute building materials(of very high quality) European Standards...mwanzo ilikuwa ngumu kuaminika na kueleweka hapa nchini,lakini sasa watz wameanza kunielewa napata orders nyingi ....karibu
Hawa jamaa ni wababaishaji sana,nimejaribu mara nyingi ,lakini napelekwa kufanya usaili kwa kazi ambayo sio yangu mie mhasibu naenda kuwa karani for Invoicing ,kweli sikutendewa haki ingawa nilifanya kazi hiyo kwa muda then nikatafuta kazi sehemu nyingine.kwahio radar muwe makini sana.