Employer kupekua NSSF ya mwajiriwa

Nikupateje

JF-Expert Member
Dec 22, 2009
1,334
988
Kumeanza kujitokeza mtindo ambapo NSSF wanatuma statement zao kwa waajiri (employer) ili kuwasambazia waajiriwa wao. Yaani kama mtu anafanya kazi kwenye KAMPUNI B basi NSSF ni kama vile wameshakubaliana na KAMPUNI B kwani NSSF wana list ya majina ya staff wa hiyo KAMPUNI B na hivyo wanatuma kila mwezi statement zinazoonyesha balance yako ya NSSF.

Sijaelewa ni kwa lengo gani japo inaelekea kwamba ni kumrahisishia mchangiaji ambaye ni mwajiriwa kujua balance yake.

Lakini je pamoja na hayo mwajiri ana haki gani ya kujua balance ya mwajiriwa wake? Kwani mwajiriwa ndiye beneficiary wa NSSF na wala si employee.

Pili ni kwamba naamini kuwa NSSF balance au amount ni confidential information. Je, Administration au Human Resource officers wa employer si tayari wanakuwa wameshajua balance yako ya NSSF?

Naomba kusaidiwa ufafanuzi na kujua sheria inayozungumzia hilo.
 
Vipi baba mbona sikuelewi, sasa balance yako ya NSSF itakuwaje confidencial kwa mwajiri wako wakati yeye ndiye anayepeleka hiyo michango huko NSSF. Na kama mwajiri wako ana rekodi nzuri anaweza kujua balance yako hata bila ya kuletewa hiyo statement.

Mimi hucheki balance yangu ya NSSF kutoka kwa mwajiri wangu maana record za NSSF huwa ziko nyuma. Hili sio swala la nyeti bana. Siri siri za nini kwani wewe ni fisadi?
 
Vipi baba mbona sikuelewi, sasa balance yako ya NSSF itakuwaje confidencial kwa mwajiri wako wakati yeye ndiye anayepeleka hiyo michango huko NSSF. Na kama mwajiri wako ana rekodi nzuri anaweza kujua balance yako hata bila ya kuletewa hiyo statement.

Mimi hucheki balance yangu ya NSSF kutoka kwa mwajiri wangu maana record za NSSF huwa ziko nyuma. Hili sio swala la nyeti bana. Siri siri za nini kwani wewe ni fisadi?

Vipi baba mbona sikuelewi, sasa balance yako ya NSSF itakuwaje confidencial kwa mwajiri wako wakati yeye ndiye anayepeleka hiyo michango huko NSSF. Na kama mwajiri wako ana rekodi nzuri anaweza kujua balance yako hata bila ya kuletewa hiyo statement.
Mimi hucheki balance yangu ya NSSF kutoka kwa mwajiri wangu maana record za NSSF huwa ziko nyuma. Hili sio swala la nyeti bana. Siri siri za nini kwani wewe ni fisadi?

Mkuu, hebu nipe somo, mwajiri wangu wa sasa kinachomhusu ni ile michango anayo-submit kipindi chote ninachoajiriwa naye.

Je, michango yangu kabla sijaariwa naye yaani nilipoajiriwa na taasisi zingine huko nyuma yeye inamhusu nini?

Tukumbuke kwamba ukipenda hata wewe bnafsi unaweza kuongoezea kiasi chako kama unvyo-deposit kwenye bank kama kweli umeamua kuwekeza huko NSSF. Je kama ulifanya hivi na hivi vinamhusuje huyu mwajiri wa sasa yaani kwa nini yeye awe exposed kwavyo?
 
Basically, that's absurd! Member wa NSSF (Mwajiriwa) ndio anatakiwa afuatilie NSSF ili kuconfirm kwamba contribution zake zinapelekwa na Mwajiri. Hivyo kumtumia mwajiri statement ni upuuzi mtupu ambao hauleti tija!

NAtoa wito kwa NSSF kuacha mara moja
 
Vipi baba mbona sikuelewi, sasa balance yako ya NSSF itakuwaje confidencial kwa mwajiri wako wakati yeye ndiye anayepeleka hiyo michango huko NSSF. Na kama mwajiri wako ana rekodi nzuri anaweza kujua balance yako hata bila ya kuletewa hiyo statement.

Mimi hucheki balance yangu ya NSSF kutoka kwa mwajiri wangu maana record za NSSF huwa ziko nyuma. Hili sio swala la nyeti bana. Siri siri za nini kwani wewe ni fisadi?

Balance yako si lazima iwe imetoka kwa mwajiri wako wa sasa tu, inawezekana hiyo kampuni ikawa ni ya tatu, nne au zaidi so balance yako haitakuwa inahusiana na mwajiri wa sasa. So it can be cinfidential. Actually hiyo defined contribution scheme ni kati yako na NSSF na si mwajiri ingawa mwajiri ndo anayechangia. So NSSF wanatakiwa wakutaarifu kwanza ndipo waweze kutoa hizo info.

Mbona mwajiri ndo anakupelekea hela benki lakini benki haiwezi tuma statement yako kwa mwajiri wako?
 
Mwajiri ndiye anayepeleka michango ya kila mwezi ya Mumishi hivyo ni muhimu kujua kama akiba imewekwa vizuri.Na hapa si swala kujua tu kuna mambo ya reconciliation.

Au una ugomvi na HR wako??
 
Mimi nina utaratibu kila mwisho wa mwaka naomba statement yangu ya NSSF na ninaletewa chini ya dk 10 na hao watu wa HR, sasa mkuu hapo sidhani kuna siri tena kati ya NSSF na wewe/mimi coz wale hr pale kuna mtu ambaye anashughulikia hii issue ya NSSF, na kwa maana hiyo mwajiri wako lazima ajue coz siku NSSF wakikupunja kama mwajiri wako hajui alipeleka kiasi gani kule atakutetea vipi mkuu? huoni kwamba yeye anapaswa kujua kwa sababu ninapofanyia kazi mimi nachangia lets say kilo na nusu na mwajiri wangu anachangia kiasi hicho hicho kwa mwezi, KWA NINI ASIJUE?
 
Vipi baba mbona sikuelewi, sasa balance yako ya NSSF itakuwaje confidencial kwa mwajiri wako wakati yeye ndiye anayepeleka hiyo michango huko NSSF. Na kama mwajiri wako ana rekodi nzuri anaweza kujua balance yako hata bila ya kuletewa hiyo statement.

Mimi hucheki balance yangu ya NSSF kutoka kwa mwajiri wangu maana record za NSSF huwa ziko nyuma. Hili sio swala la nyeti bana. Siri siri za nini kwani wewe ni fisadi?

Kumeanza kujitokeza mtindo ambapo NSSF wanatuma statement zao kwa waajiri (employer) ili kuwasambazia waajiriwa wao. Yaani kama mtu anafanya kazi kwenye KAMPUNI B basi NSSF ni kama vile wameshakubaliana na KAMPUNI B kwani NSSF wana list ya majina ya staff wa hiyo KAMPUNI B na hivyo wanatuma kila mwezi statement zinazoonyesha balance yako ya NSSF.

Sijaelewa ni kwa lengo gani japo inaelekea kwamba ni kumrahisishia mchangiaji ambaye ni mwajiriwa kujua balance yake.

Lakini je pamoja na hayo mwajiri ana haki gani ya kujua balance ya mwajiriwa wake? Kwani mwajiriwa ndiye beneficiary wa NSSF na wala si employee.

Pili ni kwamba naamini kuwa NSSF balance au amount ni confidential information. Je, Administration au Human Resource officers wa employer si tayari wanakuwa wameshajua balance yako ya NSSF?

Naomba kusaidiwa ufafanuzi na kujua sheria inayozungumzia hilo.

Mkuu mimi nijuavyo na kwa uelewa wangu NSSF contribution ya mfanyakazi siyo siri hata siku moja kwa mwajiri wako kwa kuwa yeye mwajiri kwa mjibu wa sheria anatakiwa kuhakikisha anachangia na kujua michango yako kuwa inapelekwa kwenye hilo shirika.
Mwajiri ndiyo mwenye jukumu la kukamilisha utaratibu wote wa (withdraw) pale mfanyakazi anapokuwa anataka kuchukuwa michango yake pale anapokuwa amesitisha ajira iwe aidha kufa,kuresign au kuachishwa, pia ni jukumu pia la mwajiri kumpa takwimu mfanyakazi kuwa michango yake kuwa imepelekwa NSSF.

Inwezekana wewe unaugomvi labda na huyo mwajiri wako au unaugomvi na huyo anayeshughulikia contibutions za wafanyakazi hapo kazini kwenu ila hakuna ubaya hata siku moja.

na hata ukienda nssf kudai michango yako watakurudisha kwa mwajiri kujaza baadhi ya form sasa unachoficha nini hela ni zako na hawezi hata siku moja kwenda kuzidai tena unatakiwa kushukuru kwa kuwa mwajiri wako ana mpango mzuri kufuatilia na accounts zenu zipo updated.

Ulizia yanayotoke Mtibwa na kwingineko wafanyakazi wanakatwa michango yao ila hailejeshwi NSSF.

tafadhali angalia hiyo attachment halafu uniambie unachoficha nini?
 

Attachments

  • NSSF-B.13.xls
    17 KB · Views: 269
Mwajiri ndiye anayepeleka michango ya kila mwezi ya Mumishi hivyo ni muhimu kujua kama akiba imewekwa vizuri.Na hapa si swala kujua tu kuna mambo ya reconciliation.

Au una ugomvi na HR wako??
Pamoja na kuwa Mwajiri ndie anaepeleka michango yote ya waajiriwa wake, account ya NSSF ni ya mwajiriwa binafsi. Hivyo hakuna mtu mwingine yeyote mwenye mamlaka ya kujua siri ya account hiyo.

Kama kuna tatizo katika akiba inayowekwa kila mwezi, mwajiriwa anao wajibu wa kuchukua statement yake, na kuuliza kwa mwajiri kuhusu tatizo ambalo ameliona katika account yake, na si vinginevyo. Hili ni jukumu pekee la mwajiriwa kulalamika na kufuatilia kwa kuwa yeye ndie mfaidikaji pekee wa account hiyo, na pia ana kila information ya kumsaidia kujua kama akiba iliyowekwa si sahihi kupitia pay slip, offer letter, na formula zilizopo za jinsi ya kukokotoa akiba za NSSF.

Kama kweli NSSF wanafanya hivyo, wanafanya kwa makosa makubwa. Waache mara moja kutoa siri za account za watu. Wanachotakiwa ni kutuma statement kwa mwenye account pekee.
 
"
Kumeanza kujitokeza mtindo ambapo NSSF wanatuma statement zao kwa waajiri (employer) ili kuwasambazia waajiriwa wao. Yaani kama mtu anafanya kazi kwenye KAMPUNI B basi NSSF ni kama vile wameshakubaliana na KAMPUNI B kwani NSSF wana list ya majina ya staff wa hiyo KAMPUNI B na hivyo wanatuma kila mwezi statement zinazoonyesha balance yako ya NSSF".


Nilisikia NSSF wataweka mashine zao kama ATM za benk, ambazo kila mwanachama atakuwa na kadi itakayo tumika kuangalia balance. Nadhani wakifanya hivyo itasaidia kutopeleka taarifa za wanachama kwa waajiri.
 
Sioni kama kuna tatizo km employer wako atajua balance yako. Lakini pia ni kweli kuwa atajua balance yako kabla hujaenda kwake, in other words kama ulimwambia ulikuwa unapokea 4M. huko ulikotoka wkt kumbe ilikuwa ni laki sita basi issue itakuwa wazi.... Labda km you are facing that problem then useme ili wachangiaji wajue namna ya kusaidia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom