Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Kumeanza kujitokeza mtindo ambapo NSSF wanatuma statement zao kwa waajiri (employer) ili kuwasambazia waajiriwa wao. Yaani kama mtu anafanya kazi kwenye KAMPUNI B basi NSSF ni kama vile wameshakubaliana na KAMPUNI B kwani NSSF wana list ya majina ya staff wa hiyo KAMPUNI B na hivyo wanatuma kila mwezi statement zinazoonyesha balance yako ya NSSF.
Sijaelewa ni kwa lengo gani japo inaelekea kwamba ni kumrahisishia mchangiaji ambaye ni mwajiriwa kujua balance yake.
Lakini je pamoja na hayo mwajiri ana haki gani ya kujua balance ya mwajiriwa wake? Kwani mwajiriwa ndiye beneficiary wa NSSF na wala si employee.
Pili ni kwamba naamini kuwa NSSF balance au amount ni confidential information. Je, Administration au Human Resource officers wa employer si tayari wanakuwa wameshajua balance yako ya NSSF?
Naomba kusaidiwa ufafanuzi na kujua sheria inayozungumzia hilo.
Sijaelewa ni kwa lengo gani japo inaelekea kwamba ni kumrahisishia mchangiaji ambaye ni mwajiriwa kujua balance yake.
Lakini je pamoja na hayo mwajiri ana haki gani ya kujua balance ya mwajiriwa wake? Kwani mwajiriwa ndiye beneficiary wa NSSF na wala si employee.
Pili ni kwamba naamini kuwa NSSF balance au amount ni confidential information. Je, Administration au Human Resource officers wa employer si tayari wanakuwa wameshajua balance yako ya NSSF?
Naomba kusaidiwa ufafanuzi na kujua sheria inayozungumzia hilo.