Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Mimi naona kama anamffanyia matangazo ili afahamike. Kwani ni nani alikuwa anamfahamu kabla hajamleta hapa?
Watu wana strategy za kutoka kisiasa siku hizi hasa wakiwa vyuo vya elimu ya juu, subirini kama hamjamsikia uvccm au bavicha.
Watu wana strategy za kutoka kisiasa siku hizi hasa wakiwa vyuo vya elimu ya juu, subirini kama hamjamsikia uvccm au bavicha.