King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,594
Habari Wabeba Box wa USA,
Akiojiwa na Gabriel zakaria(mtangazaji wa TBC1),Emmanuel alisema hali ya uchumi nchi USA ni ngumu hakuna kazi kabisa,sasa najiuliza wabeba box wa uko wanaishi vp? Walavumbi wenzangu ebu tukaeni tz tusiwe na kasumba ya kwenda USA kutafuta maisha,kule sasa maisha ni magumu sio kama kipindi kile cha clinton
Nawasilisha
Akiojiwa na Gabriel zakaria(mtangazaji wa TBC1),Emmanuel alisema hali ya uchumi nchi USA ni ngumu hakuna kazi kabisa,sasa najiuliza wabeba box wa uko wanaishi vp? Walavumbi wenzangu ebu tukaeni tz tusiwe na kasumba ya kwenda USA kutafuta maisha,kule sasa maisha ni magumu sio kama kipindi kile cha clinton
Nawasilisha