Freshbrain
Member
- Oct 3, 2011
- 29
- 82
Habari za shughuli wadau,
Nimepata uhamisho wa kikazi ghafla juzi kwenda mkoani. Nyumba hii nilikuwa nimehamia mwezi huu yani yaani tarehe3, lakini ndiyo hivyo tena risks ambazo siku-foresee.
Kwa hiyo natafuta mtu nitakayemuuzia mkataba, HAKUNA UDALALI. Kodi kwa mwezi ni 160,000/= utalipa Miezi 11 (Kwa sababu nimeshatumia mwezi).
Nyumba ina Marumaru upande wa sebuleni mpaka jikoni..na pia imeshanyiwa ukarabati i.e rangi etc tayari kwa kuhamia.
Ipo Kimara Mwisho umbali wa Dakika nane (8) kwa mguu kutoka barabarani.
Nimepata uhamisho wa kikazi ghafla juzi kwenda mkoani. Nyumba hii nilikuwa nimehamia mwezi huu yani yaani tarehe3, lakini ndiyo hivyo tena risks ambazo siku-foresee.
Kwa hiyo natafuta mtu nitakayemuuzia mkataba, HAKUNA UDALALI. Kodi kwa mwezi ni 160,000/= utalipa Miezi 11 (Kwa sababu nimeshatumia mwezi).
Nyumba ina Marumaru upande wa sebuleni mpaka jikoni..na pia imeshanyiwa ukarabati i.e rangi etc tayari kwa kuhamia.
Ipo Kimara Mwisho umbali wa Dakika nane (8) kwa mguu kutoka barabarani.