Embarassing Elections

Recta


Wapinzani wangeibaje kura wakati wizi unategemea kushirikishwa Polisi, Jeshi na NEC? Kutokana na mfumo uliopo, Polisi, Jeshi na NEC wako upande mmoja na CCM. Ni juzi juzi tu maofisa wote wa ngazi za juu wa vyombo vya ulinzi na usalama walikuwa wanatakiwa kuwa wana CCM.



Kwani vyama vya upinzani Zambia na Kenya ni tofauti sana na vya kwetu? Mbona vimeshinda?

Swala la msingi kwa Recta na wengine hapa ni hili: Mtasemaje CCM haibi kura na huku mnakubali iliba ushindi Zanzibar 1995?

Augustine Moshi,
Mimi nadhani hili la kuiba kura halina uzito mkubwa sana ukilinganisha idadi ya viti ambavyo CCM wanavipata. Kama tutaendelea kujadili suala ni kwamba CCm wanashinda kwa sababu wanaiba kura hatuwezi kuona haya mambo katika uhalisia wake. Ni vema kama tunataka kuweka suala la kuiba kura basi ni kwamba inabidi tuje na data za uhakika ambazo zita-support hoja na kuonesha ni viti vingapi vilichukuliwa kwa kuiba kura.

kimsingi ninachotaka kusema ni kuwa kuna sababu ambazo baadhi ya wachangiaji kwa mapenzi yao kwa chama fulani au maono yao binafsi, hawataki kujadili na kukubali kuwa baadhi ya sababu nilizozitoa hapo juu ndiyo zinazochangia ushindi wa kimbunga wa CCM. Kwa mantiki hiyo basi, ni vema wale wote wanaogombea kiti na CCM wakaelewa hilo na kuwa na mikakati mdabala ya kuwawezesha walau waweze kufurukuta. Kwa mfano kule Mbeya unaweza kusema kuliibiwa kura? au Mramba aliiba kura? Tuangalie pia ni nani amasimamishwa kugombea na CCM. Baadhi ya wagombea wa upinzani kusema kweli hawauziki hata kwa senti moja, na kwa vile uchaguzi ni wa kidemokrasia basi kura nyingi hupewa yule ambaye wananchi wanamtaka.
Jambo lingine ni kwa baadhi ya vyama vyenyewe, vinakwenda kwenye uchaguzi ilihali havijui vinataka kuifanyia nini hii nchi jambo gani, kama unataka kupata kushinda, basi eleza yale ambayo kweli mtayafanya au kuyarekebisha na wala siyo kwenda kuwatisha wananchi au kupandikiza chuki wachukie serikali yao. Wananchi wanasikiliza na baadae hufanya maamuzi ambayo matokeo nadhani wote tunayajua.
Hata siku moja wapinzani wasiendelee kufanya makosa kwa kutumaini kuwa wataingia madarakani kwa huruma ya wananchi, no way. Na wala wasitegemee ikifika wakati wa uchaguzi CCM itawaonea huruma, no way.
 
Kuiba kura ni mbinu kubwa inayotumika. Mfano, kwenye kesi ya uchaguzi ilioletwa na mwana CCM dhidi ya Slaa, ulitolewa ushahidi kwamba CCM ilimshinikiza Returning Officer afute takwimu zilizokuweko na atangaze nyingine.

Mbinu iliyotumika Pemba na Zanzibar 1995 ni hiyo hiyo. Mkulu wa wakati ile alifuta takwimu zilizokuweko na akampa mtangazaji takwimu nyingne akamwambia atangaze "hizo"

Huko Rombo ulikokutaja, kuna kijiji kimoja ambapo masanduku yenye kura yalipotea mpaka saa 8 usiku, na yalipohesabiwa kura zake zikawa ni za CCM karibu zote.

Pamoja na wizi, kuna kutumia vyombo vya usalama kuwanyanyasa sana wapinzani. Polisi wanatumika kwenye hatua za vitu kama kuwakataza wapinzani wasifanye mikutano! Kwani wewe hujashuhudia hayo?
 
Kuiba kura ni mbinu kubwa inayotumika. Mfano, kwenye kesi ya uchaguzi ilioletwa na mwana CCM dhidi ya Slaa, ulitolewa ushahidi kwamba CCM ilimshinikiza Returning Officer afute takwimu zilizokuweko na atangaze nyingine.

Mbinu iliyotumika Pemba na Zanzibar 1995 ni hiyo hiyo. Mkulu wa wakati ile alifuta takwimu zilizokuweko na akampa mtangazaji takwimu nyingne akamwambia atangaze "hizo"

Huko Rombo ulikokutaja, kuna kijiji kimoja ambapo masanduku yenye kura yalipotea mpaka saa 8 usiku, na yalipohesabiwa kura zake zikawa ni za CCM karibu zote.

Pamoja na wizi, kuna kutumia vyombo vya usalama kuwanyanyasa sana wapinzani. Polisi wanatumika kwenye hatua za vitu kama kuwakataza wapinzani wasifanye mikutano! Kwani wewe hujashuhudia hayo?


Mkuu,

Kama umenisoma vizuri, maelezo yako unayoyatoa hayakidhi sababu ya msingi kwanini CCM inashinda viti vingi. Anyway hapa nadhani si pa kuendelea kujadili sana kwani tunaongelea vitu ambavyo ni 50/50.

Suala la msingi ni wapinzani kuja na agenda za ushindi pasi na shaka, wananchi ndiyo wanaoamua ni nani apewe kiti, tumeyaona haya kule Kigoma, Mpanda, Pemba nk. Kwahiyo wananchi wanataka sera mbadala na kwa kweli hili ndiyo muhimu. Unapokuja kwangu unataka kura halafu unanieleza Buzwagi bila ya kuniambia kwenye elimu sasa hivi kuko hivi, mimi (sisi) nitafanya hivi, na unieleze bila ya utata mkakati unaotekelezeka utakaoutumia kufanikisha malengo hayo. Short of that, ni ubabaishaji, si vyema tufanye mabadiliko ambayo yatakuja kutugharimu mara kadhaa ya hali iliyopo sasa. Hii ni kauli yangu mimi kama mpiga kura
.
 
Ukweli ni kwamba hawa akina Mrema, na wengine huishia mjinii tuu huko vijijini hawajulikani.Na kama wakienda hawajui nini la kusema.Kwa mfano mwaka 1995.Mrema akiwa mjini musoma alilaumu sanaChama cha ushirika cha mara kwamba viongozi waiba.Hakujua wamjini wingi wao huishi kwa kuibia chama cha ushirika.Kwamba wa mjini si wakulima.Hivyo hivyo wakienda vijiji huilaumu SISIM kuwa haijaleta maendeleo maathalan watalaumu kuwa hamna zahanati.kumbe kijiji wanacholaumu kuna zahanati.Mara nyingine hudai hakuna barabara sasa wananchi wanahoji kama hakuna barabara wao wamefikaje huko.Kwa maana nyingine hawaelezi wao wakipewa madaraka watafanya nini kwa sabababu muda mwingi huilaumu SISIM lakini SISIM hawana muda wa kuwalaumu wao bali hueleza wametekeleza nini katika eneo hilo na wanatarajia kufanya nini.Kwa mtaji huu.Kila uchaguzi watalalamika wameibiwa kura kumbe si kweli
 
Wakuu,

Nakubaliana na wazo la kuelimisha wananchi kuhusu maswala ya uchaguzi na kwamba katika hali iliopo nchini kuhusu Katiba, CCM na serikali yake, itachukua milele kwa upinzani au hata watu binafsi kushika madaraka ya nchi.

Kama maendeleo ya nchi yetu yanahitaji watu, watu tunao. Na kama hitaji la ardhi, ardhi tunayo. Katika miaka hii karibu 50 ya uhuru, kinachodhirika kukosekana ni siasa safi na uongozi bora.

Kwa kuwa vitu hivyo viwili vya msingi havipo, uchaguzi wa kuridhisha utatokea wapi?

Katiba ya upendeleo kwa chama kimoja. NEC ya kutetemeshwa. FFU, Polisi na Askarijeshi kila kampeni na uchaguzi. Achilia mbali rushwa, takrima, mizengwe, wizi, ufifilishi na vitimbi. Utategemea matokeo ya uchaguzi yaridhishe ulimwengu?
 
KwaMinchi is spot on. Hatujaendela kwa sababu tumekosa siasa safi na uongozi bora. Ili tuendelee, lazima tubadilishe siasa na viongozi waliopo ambao ni wa CCM. Nasema hawawezi! Wamejaribu miaka 47 bila kuweza!
Pundamlia07
Suala la msingi ni wapinzani kuja na agenda za ushindi pasi na shaka, wananchi ndiyo wanaoamua ni nani apewe kiti

Mbona JK alishinda bila kuja na ajenda yoyote? Amedai ana ajenda inayohitaji mawaziri 60, lakini wewe na mimi tunajua hiyo ni danganya toto.
Pundamilia07
Si vyema tufanye mabadiliko ambayo yatakuja kutugharimu mara kadhaa ya hali iliyopo sasa.

Hali iliyopo sasa haivumiliki. It is not possible to sink lower because there is no lower. Tukiiweka CCM benchi lazima wananchi watapata nafuu. Ni kama ilivyotokea Kenya walipoiweka KANU benchi, na Zambia walipoiweka UNIP upinzani.
SaidSabke
Ukweli ni kwamba hawa akina Mrema, na wengine huishia mjinii tuu huko vijijini hawajulikani

Uchaguzi mkuu uliopita hukuona Mbowe akienda vijijini lakini CCM ikatumia Polisi kumnyima haki yake? Kuna mahali hata Mkuu wa Wilaya alidiriki kukataza helikopta ya Mbowe kutua! Hiyo ni dhambi ya mauti!
 
Last edited:
KwaMinchi is spot on. Hatujaendela kwa sababu tumekosa siasa safi na uongozi bora. Ili tuendelee, lazima tubadilishe siasa na viongozi waliopo ambao ni wa CCM. Nasema hawawezi! Wamejaribu miaka 47 bila kuweza!
Pundamlia07


Mbona JK alishinda bila kuja na ajenda yoyote? Amedai ana ajenda inayohitaji mawaziri 60, lakini wewe na mimi tunajua hiyo ni danganya toto.
Pundamilia07


Hali iliyopo sasa haivumiliki. It is not possible to sink lower because there is no lower. Tukiiweka CCM benchi lazima wananchi watapata nafuu. Ni kama ilivyotokea Kenya walipoiweka KANU benchi, na Zambia walipoiweka UNIP upinzani.
SaidSabke


Uchaguzi mkuu uliopita hukuona Mbowe akienda vijijini lakini CCM ikatumia Polisi kumnyima haki yake? Kuna mahali hata Mkuu wa Wilaya alidiriki kukataza helikopta ya Mbowe kutua! Hiyo ni dhambi ya mauti!

Take a positive look to sharpen your thinking. KANU na UNIP ni vyama ambavyo viliingia kwenye chaguzi kuu za nchi hizo tayari zimekwishameguka, hazikupata nafasi ya kujiimarisha kabla ya chaguzi hizo. Kwa hiyo situation ya KANU na UNIP ni tofauti kabisa.
Bado nitaendelea kusisitiza kuwa hoja zinazoletwa dhidi ya ushindi mkubwa wa kila mara katika chaguzi zetu bado hazilengi hasa kwenye ukweli. Wanasiasa na wapenzi wengi wanapenda kukwepa kuzungumzia ukweli huu kwa sababu wanazozijua wenyewe. Waelezeni wananchi how powerful is CCM na ni kwanini mnataka kuipunguza nguvu na kasi, vinginevyo CCM wataendelea kushinda tu. Tusikwepe kutafuta viini sahihi vya matatizo yetu eti kwa kuonekana kuwa huwapondi CCM. 2010 imekaribia don't think CCM wamekaa wanasubiri kwenda kwenye uchaguzi tu, no way, hawalali sasa hivi hawa jamaa, wanajua kabisa 2010 ni uchaguzi muhimu labda kuliko chaguzi zingine zote zilizokwishapita, trust me!
 
Ni kweli CCM kuna nguvu fulani, lakini ni nguvu za kutumia mabavu. Yako mali mengi ya umma ambayo CCM imeshikilia kwa nguvu. Hata viwanja kama Kirumba CCM inadai ni mali yake! Yako maegesho ya magari usiku yanayolindwa na Polisi wa serikali, na CCM inatoza kodi kana kwamba hao Polisi ni wake!

Kuna wakati CCM ilijitengea malipo makubwa toka serikalini, na waliponung'unika watu Kawawa akadai ni consultancy fee!

CCM ilitumia SUKITA kuchota mafedha chungu nzima ya wananchi. Hadi leo waliokuwa viongozi wa SUKITA bado wanakula tu hayo mapesa, na hakuna anayethubutu kuhoji.

Nguvu za CCM katika uchaguzi mkuu uliopita zilitokana na fedha za wizi za EPA. That is a well known secret. Walitumia fedha hizo kuhonga wananchi kanga, vitenge n.k.

Kuna wakati wanachama wa CCM toka Mwanza waliokuwa wakienda mkutano mkuu wa uchaguzi wa viongozi wao Dodoma walishushwa Tabora kwa amri ya kiongozi mwandamizi wa serikali. Hizi ni nguvu za mabavu.

Sasa kama tunazungumzia nguvu za mabavu, basi hata mkoloni alikuwa na nguvu sana. Lakini alisalimu amri. Siku yaja, na haiko mbali, CCM itasalimu amri vile vile.
 
Ni kweli CCM kuna nguvu fulani, lakini ni nguvu za kutumia mabavu. Yako mali mengi ya umma ambayo CCM imeshikilia kwa nguvu. Hata viwanja kama Kirumba CCM inadai ni mali yake! Yako maegesho ya magari usiku yanayolindwa na Polisi wa serikali, na CCM inatoza kodi kana kwamba hao Polisi ni wake!

Kuna wakati CCM ilijitengea malipo makubwa toka serikalini, na waliponung'unika watu Kawawa akadai ni consultancy fee!

CCM ilitumia SUKITA kuchota mafedha chungu nzima ya wananchi. Hadi leo waliokuwa viongozi wa SUKITA bado wanakula tu hayo mapesa, na hakuna anayethubutu kuhoji.

Nguvu za CCM katika uchaguzi mkuu uliopita zilitokana na fedha za wizi za EPA. That is a well known secret. Walitumia fedha hizo kuhonga wananchi kanga, vitenge n.k.

Kuna wakati wanachama wa CCM toka Mwanza waliokuwa wakienda mkutano mkuu wa uchaguzi wa viongozi wao Dodoma walishushwa Tabora kwa amri ya kiongozi mwandamizi wa serikali. Hizi ni nguvu za mabavu.

Sasa kama tunazungumzia nguvu za mabavu, basi hata mkoloni alikuwa na nguvu sana. Lakini alisalimu amri. Siku yaja, na haiko mbali, CCM itasalimu amri vile vile.

Mkuu,
Nimekusikia, lakini sijaona jambo lolote lakunishawishi ambalo linaonesha kuwa nguvu za CCM zitapunguzwa huko tuendako. umenieleza mengi ambayo kwa sasa haya nguvu yeyote ya kukabiliana na nguvu za CCM.
Ningependa kuona zile sera za vyama vya upinzani, zinaanza kuchambuliwa sasa ili kuwafanya wananchi wazijue kungali mapema. Hii itatoa nafasi kwa wananchi kuzipitia na kuzielewa, vilevile itasaidia kujua response ya wananchi pale ambapo zinahitaji kufanyiwa marekebisho. Mimi hii ndiyo ninaiona kuwa hii ndiyo njia sahihi ya kukabiliana na CCM katika sanduku la kura, vinginevyo ni kichapo tu, huu ndiyo ukweli.
 
Kwani sera za CCM umeshawahi kuona zikichambuliwa na kueleweka? Tangu lini wananchi wa Tanzania wakachagua mtu kwa kutokana na kuelewa sera zake? Ingekuwa hivyo JK hangeambulia kitu!

Kazi nzito inayopashwa kufanywa na upinzani sasa ni kuangalia namna ya kuzuia CCM wasiibe kura. Kama ulikuwepo Dar wakati Dr. Lamwai aliposhinda Ubungo, utakubalina nami kwamba kilichofanya ashinde ni kuzuia kuiba kura kulikofanywa na watu wake. Sio kuelezea sera. Alielezea sera ipi?

Man does not live on words. Sera za CCM (in as much as we can speak of such a thing) ni maneno tu yasiyotekelezeka. Hakuna mtu anayehangaika kuchambua sera za kusema una ajenda inayohitaji mawaziri 60 kisha ajenda yenyewe haionekani hadi uchaguzi mwingine unakuja.
 
What does it feel like to have elections that are widely hailed as being democratic? We wouldn’t know since we haven’t had anything like that in Tanzania.

International Observers at the 1995 general elections are on record as saying that they witnessed irregularities that they hadn’t seen anywhere else in the world! Many Tanzanians felt that CUF won those elections handsomely on the Isles, and that Mrema beat Mkapa in the Presidential elections!

So, the 1995 general elections satisfied neither our citizens nor international observers!

Most of us were satisfied that the 2000 general elections were won by Mkapa, but once again, many cases of intrigue and manipulation were observed. There were stories of widespread rigging that was carried out by national security organs, with the blessing of the NEC (National Electoral Commission).

It is interesting to note that in places like Bariadi, the very prominent candidate there, Cheyo (alias Mapesa), did not even get credited with his families’ ballots. That is how bad the rigging was!

The recent election case that pitied Dr. Slaa against some CCM loser was instructive. It brought to the fore how NEC officials are directly used by some parties to alter election results.

The recently held by-elections in Musoma and Mbeya are nothing to be proud of. We heard of cases of actual fights using bush knives in Musoma. In Mbeya, no more than 35% of the registered voters bothered to show up! The reason was that Judge Makame found himself some silly excuse that enabled him to bar the peoples’ choice. The main winner in the Mbeya by-election was none other than Judge Lewis Makame.

The Electoral Commission bears much blame. It seems to work for one particular party. It is designed to be under the ruling party. The head of the NEC is appointed by the leader of the ruling party. That is manifestly wrong. The entire commission ought to be formed by parliament and be answerable only to parliament.

We envy countries like Ghana where elections are internationally acknowledged as being democratic. We need to review the NEC and the appropriate laws before the next general elections

Brother Augustine Moshi, you sound a bit naive when you make overstatements such as "international observers at the 1995 general elections are on record as saying they witnessed irregularities that they hadn't seen anywhere in the world!" in total disregard of the Florida election debacle which gave victory to George Bush Jr.! Nothing brother, comes nearer to that! That Mrema beat Mkapa and CUF beat CCM in the isles is cheap conjecture unsupported by credible testimony.
 
Back
Top Bottom