X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Nimepokea taarifa zinazosema kuwa,
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa "Tanzania Chamber of Commerce, Industry & Agriculture" (TCCIA) Bwana ELVIS A. MUSIBA amefariki dunia alfajiri ya leo.
Habari za mipango ya mazishi zitafuata mara tu baada ya kupatikana.
Kwa watu walioko London, mnakaribishwa kwa binti yake, Lisa Musiba, anwani ni:
6 MANTON Rd
ENFIELD
MIDDLESEX
LONDON,
EN3 6XZ
Mobile: 07949737185
Pole kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki na wale wote mliofikwa na msiba huu.
Roho ya Marehemu Elvis A. Musiba ipumzike pema.
AMIN.
source: http://www.wavuti.com/