mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
jjapo umenikataa lakini naomba unipe nafasi hata ya kutoka nawewe w.kend hii walau moyo wangu upoe kidogo
jjapo umenikataa lakini naomba unipe nafasi hata ya kutoka nawewe w.kend hii walau moyo wangu upoe kidogo
Leo nakesha shosti
Unakeshea pahala gani?
Mfano mimi hapa nakesha juu ya Meza za bar.
Wewe unakesha juu ya nani au nini?
nakesha nimeukalia i .e mkeka
He!
Uukalie mkeka sa hz?
Saa 7 usiku huu?
Labda yale mambo yetu.
hapana cyo mambo yetu si wajua ndo naanza maisha so nina chumba2 na mkeka,nikichoka kuukalia naulalia.
Unaulalia ukiwa nje au unalala nao ukiwa ndani huo mkeka?
Ila shoga utakuwa jasiri.
Me nikiulalia mchana peke yake naumia mbavu na kiuno mpaka niweke mto,
Sembuse wewe Unaulalia usiku kucha tena ukiwa ndani.
A wonderful..!!
hapana cyo mambo yetu si wajua ndo naanza maisha so nina chumba2 na mkeka,nikichoka kuukalia naulalia.
Hivi mpaka karne hii bado watu hulalia jamvi?
Khaa
Karagha bao!!
Wapo.
We ukiendaga kutambika kwenu huwa mnalaliaga nini?
Haya mamii naona umeniamulia lakin nifanyeje ndo uwezo wangu,labda unipe mbinu za kupata tanifomu.
teremka tukaze au banco