Kuna ndugu yangu alisoma O-level hapa Tz,ila matokeo yake ya fm4 alipata 4,akaenda uganda akaendelea na fm5 na 6,six akapata 2,Je huyu anaweza pata chuo hapa na kuchukua degree? .Naomba ushauri wako kama una infor kuhusu hili.Thanks
credit 3 anazo??? kama hana ukaze huko huko...then aje huku kupiga kaz!!!
Its depends on his results aweza pata
nasemea za o-level!! ila kwa navojua hasa mwaka huu,tcu walikua wanataka mtu mwenye atleast 2 princpl passes zaAnazo 3 za A-level
nasemea za o-level!! ila kwa navojua hasa mwaka huu,tcu walikua wanataka mtu mwenye atleast 2 princpl passes za
a-levelna 3 credits za o-level,,sasa hapo ndo nikawa na wasi...ila labdda ajaribu..
Kwa nini usimwambie aende TCU kuuliza pomoja na vyeti vyake? unawezaje kuuliza kitu humu wakati kuna chombo cha Serikilai chenye hilo jukumu na ambacho kinaweza kukupa info zote na zaidi? mbona sikuelewi?Kuna ndugu yangu alisoma O-level hapa Tz,ila matokeo yake ya fm4 alipata 4,akaenda uganda akaendelea na fm5 na 6,six akapata 2,Je huyu anaweza pata chuo hapa na kuchukua degree? .Naomba ushauri wako kama una infor kuhusu hili.Thanks
Tcu wanaangalia credt 3 za o-level pia,kama hakupata sijui kama watamchukua.
anasoma tu! mana inaonesha yeye ni kwa njia za panya zaidi! bongo hapa anasoma! wapo waliomaliza six na 4 zao, na chuo wanasoma na wengine wamemaliza na gpa nzuri tu! kama anayo pesa arudi bongo tu, tena skuizi kunavyuo vingi kupitiliza bora ingekuwa zamani nngemuwia ngumu kidogo! huyu wala sio ndugu yako ni wewe mwenyewe, so mkuu wewe rudi tu, vyuo vipo vya kumwaga huku.