Elimu ya open university na soko la ajira

CONSULT

Senior Member
May 8, 2011
194
199
Wana jamii forum naomba ushauri wenu, kutaka kujua hadhi ya elimu huria kama inayotolewa na OPEN UNIVERSITY katika jamii yetu ya kitanzania aidha kwenye soko la ajira au mtazamo wa jamii kwa kulinganisha na elimu ya vyuo vingine kama vile UDSM, MZUNBE, UDOM.
 
Usipoteze muda na elimu kwa njia ya posta. Soma thread zilizotangulia utapata majibu kwa vile imejadiliwa katikahttps://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-elimu-education-
 
Elimu ya chuo kikuu huria ina viwango sawa tu na vyuo vingine. Siku zijazo elimu ya vyuo vikuu itachukua sura ya Open and distance learning (ODL).

Ni ngumu kidogo kufanya Engineering pamoja na udaktari (watu na wanyama) lakini mengine yanawezekana kabisa...
 
Rangi unajidanganya kulinganisha distance learning na elimu ya full time vyuoni. Baada ya huu tandawazi hata ma PHD yameongezeka nchini ukiuliza wamesoma lini wanakuambia kwa internet.
 
Kweli hapa ni jamvini mbona kuna watu wengi tu wamesoma open na wanafanya sehemu za maana tu na mbona pia kuna vyuo fulani watu wamesoma full time na wameshindwa kuthibitisha first class zao katika soko la ajira?

Mimi nadhani kikubwa ni wewe ubongo wako unavyoufanya upokee vitu unavyosoma maana kama ni ulipuaji kila sehemu kuna ulipuaji wakuu. wakuu tujifunze kuelimika sio kupata vyeti na kuanza kulalamika chuo gani kinafaa kwa soko lipi.

Hata hao wa internet nao wamejipenyeza kuleta ushindani na ndio maanabadala ya kushindana tumebaki kulalamika kila kukicha ukizingatia sasa tunaelekea soko la ajira la afrika mashariki. Tafakari na chukua hatua
 
Kaka L'mour kajibu vzuri sana...usianze kudanganywa na majina ya vyuo na kama ingelikuwa miaka5 iliyopita ningelikwambia usiende OUT lakn kwa sahv,imeadvance sana kuna kozi kama CL haikuwa inafundishwa,sahv ipo,hawakuwa na class tests/exams,sahv wanazo,bnafsi mie UD nilifundishwa psycology na mwenye bachera ya OUT ...nenda kasome
 
Kaka L'mour kajibu vzuri sana...usianze kudanganywa na majina ya vyuo na kama ingelikuwa miaka5 iliyopita ningelikwambia usiende OUT lakn kwa sahv,imeadvance sana kuna kozi kama CL haikuwa inafundishwa,sahv ipo,hawakuwa na class tests/exams,sahv wanazo,bnafsi mie UD nilifundishwa psycology na mwenye bachera ya OUT ...nenda kasome
Usidanganye watu bwana kuna wengine tuliwahi kuwa pale kwa capacity fulani hivi, ni upuuzi mtupu. Wastage of time unless unabiashara yako au mwanasiasa unataka uwe unataka qualification bila kuwaza kichwani unanini? Mie mwenyewe nilivyopitia tundiko lako nikabaini kwanini ilibidi ufundishwe na mwanafunzi wa OUT badala ya kukamata vitabu na kusoma.
 
Kwa kila learning mode ina methodologies zake na objectives zake. Kwa out, hakuna tatizo. Kila kitu katika mfumo wa vyuo vyote hapa nchini kinaongozwa na kusimamiwa na tz commission of universities, tcu. Namaanisha wanapitia course outlines, study materials, na uwezo wa chuo chenyewe.

Kwahili out haina tofauti na vyuo vingine. Suala la kuvilinganisha vyuo lina mitazamo tofauti inayojengwa na experience ya mtu husika.

Uwezo wa mwanafunzi hutofautiana kulingana na chuo alichosoma but mara nyingi juhudi/initiatives za kukabiliana na changamoto za kujijengea uwezo/competency ni za mwanafunzi. Ninatakwimu za idadi kubwa ya wanafunzi waliosoma out na kufanikiwa katika nyanja na kazi mbalimbali hapa nchini.

Tutachagua sana bucha lakini nyama ni ileile na mpishi ni wewe!!
I submit
 
kama tayari upo kwenye system soma lkn kama bado hapana, mimi nimewaona watu wazima wengi sana waliosoma OUT ukweli walikuwa wanafanyiwa kazi za chuo na vijana, na ndio maana unaona kina kilango nao sasa hivi wana nondo
 
Nawashukuru sana kwa mawazo yenu.

Kusoma chuo si kwamba you only absorb the materials that are delivered by instructors. unatakiwa kutazama mijadala, kusoma courses mbalimbali ambazo zitakuongezea skills, kujua vitu muhimu kama english, presentations etc. kuna mdogo wangu alikuwa anasoma pale OUT, kwasababu anamuda mchana akaenda chuo cha kodi akasoma certificate ya clearing and forwarding, akaomba kazi bandari akapata fasta na akapiga sana hela huku akiwa anajisomea sana night na week end....he is graduating this year. ulimwengu wa kukaa chuo bwenini na kula kantini unaisha. kazi na shule..... kikubwa nikuwa na tabia ya kusoma vitabu maana kuna libraries nyingi sana kwa dsm kama maktaba ya taifa, udsm, soma book shop victoria, palepale OUT wanayo...plenty of them.

jijue wewe upoje ndo uamue usome wapi.
i submit
 
kusoma chuo si kwamba you only absorb the materials that are delivered by instructors. unatakiwa kutazama mijadala, kusoma courses mbalimbali ambazo zitakuongezea skills, kujua vitu muhimu kama english, presentations etc. kuna mdogo wangu alikuwa anasoma pale OUT, kwasababu anamuda mchana akaenda chuo cha kodi akasoma certificate ya clearing and forwarding, akaomba kazi bandari akapata fasta na akapiga sana hela huku akiwa anajisomea sana night na week end....he is graduating this year. ulimwengu wa kukaa chuo bwenini na kula kantini unaisha. kazi na shule..... kikubwa nikuwa na tabia ya kusoma vitabu maana kuna libraries nyingi sana kwa dsm kama maktaba ya taifa, udsm, soma book shop victoria, palepale OUT wanayo...plenty of them.
jijue wewe upoje ndo uamue usome wapi.
i submit

umenikosha mkuu.
 
OUT ni chuo kama vyuo vingine tena kama una mishe zingine unazifanya na kitabu kinaenda na wale wanaomaliza undergraduates OUT MTELEMKO kwa POSTGRADUATES msipoteshe kwa msioijua OUT ila kwa wavivu wa kusearch information wataona ni mzigo pale OUT unapata guidlines tu hivyo kama uta graduate kwa efforts zako unakuwa nondo mbaya hata kwenye masters unapewa first priority ukicompare na wa convetion NJIA NI TFAUTI ILA SAFARI NI MOJA KINACHOMATA NI GPA TU WANA JF ELIMU
 
Back
Top Bottom