CONSULT
Senior Member
- May 8, 2011
- 194
- 199
Wana jamii forum naomba ushauri wenu, kutaka kujua hadhi ya elimu huria kama inayotolewa na OPEN UNIVERSITY katika jamii yetu ya kitanzania aidha kwenye soko la ajira au mtazamo wa jamii kwa kulinganisha na elimu ya vyuo vingine kama vile UDSM, MZUNBE, UDOM.