Mimi naona ni bora wapunguze jamani lol!! Tunasoma miaka mingi mno jamani....angalia hii;
Total 17 or 18 or 19
- Elimu ya msingi miaka 7 plus chekechea 1 year=8
- O-level miaka 4
- Advanced level miaka 2
- Elimu ya juu miaka 3 or 4 or 5
Jamani miaka 17 unasoma tu? Na kibaya zaidi mfano elimu ya o-level na Advanced level hakuna tofauti sana.Nadhani cha msingi ni kuboresha elimu yetu katika mitaala yetu ili kuboresha elimu yetu...
Wadau wa JF,
muda mchache uliopita nimesikia ktk kipindi cha magazeti redioni(rfa) kuwa serikali inabadilisha mfumo wa shule za msingi kwa kiwango cha juu cha elimu ya msingi mwisho kuwa ni darasa la sita. Utaratibu huu unaanza effective mwakani. Wenye access na magazeti ya leo amwage data zaidi hapa jamvini..
Au kusiwepo kabisa elimu ya msingi.wapunguze tu, iishie darasa la tatu.
Au kusiwepo kabisa elimu ya msingi.
hakuna tofauti!???mimi naona ni bora wapunguze jamani lol!! Tunasoma miaka mingi mno jamani....angalia hii;total 17 or 18 or 19
- elimu ya msingi miaka 7 plus chekechea 1 year=8
- o-level miaka 4
- advanced level miaka 2
- elimu ya juu miaka 3 or 4 or 5
jamani miaka 17 unasoma tu? Na kibaya zaidi mfano elimu ya o-level na advanced level hakuna tofauti sana.nadhani cha msingi ni kuboresha elimu yetu katika mitaala yetu ili kuboresha elimu yetu...