<br />Dr.Augustine L. Mrema!!
<br /><br /><br />
<br /> Dr. Mzindakaya<br />
Dr. Deodorus Kamala<br />
Dr. Emmanuel Nchimbi
lShaaban Robert hakuwa na darasa nne tu. Alimaliza Middle School ya Kikoloni ambayo kwa sasa unaweza kuilinganisha na Form Six. Alijiendeleza kielimu binafsi akiwa anafanya kazi serikalini. Vyeti, hasa vya siku hizi, havionyeshi ujuzi wala umahiri wa mtu. Siku zile ilikuwa hivyo.
unamautani na mshua eti enh!Kwa wasiofahamu elimu ya mwandishi wa vitabu vya riwaya na mashairi hayati shaaban Robert ana elimu ya darasa la nne.Unazikumbuka
kazi zake hizi?Kusadikika,kufikirika,Adili na Nduguze n.k.Je hao wasomi wetu wa sasa na phD zao za vitini watamfikia huyu?