Elimu ya demokrosia nchini inahitajika sana, ili wananchi wengi waelewe haki zao za demoksia ndani ya nchi yao ili waweze kujikomboa ktk makucha ya watawala wa kiimla.
Elimu hiyo ya demokrasia iambatanishwe na elimu kuhusu sheria ya nchi ili wananchi wapate uelewa wa kutosha.:happy:
Elimu hiyo ya demokrasia iambatanishwe na elimu kuhusu sheria ya nchi ili wananchi wapate uelewa wa kutosha.:happy: