Elimu:Wenye kutaka noa mbongo kwa mafunzo ya maprof wa vyuo vikubwa USA kupitia online bure.

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
Wenye kutaka noa mbongo kwa mafunzo ya maprof wa vyuo vikubwa USA kupitia online bure.Hapa kuna cource za beginners na intermediary.Vyeti vinatoka kwa course ingawa kuna nyingine hazina vyeti kwa hiyo utaangalia mwenyewe.Hitajiko ni kubwa ni kuwa na access ya internet.Requiremenet nyingine uaelekezwa kwa cource husika.Labda kingine cha kuumiza ni vitabu kupata Amazon.Hapo kma huna unaweza tafuta online vya kudownload,au kama unaweza pata ktik libary pia sio mbaya.Amazon ni mojawapo ya sponsors kwa hivyo nao wamejiweka pa kula.

Kujiregister fuata hii link then nenda katik page, chagua course kadiri uwezavyo na kuhitaji, na kama unafikia vigezo vilivywekwa ili usijepata shida kuelewa mambo.kumbuka kuangalia tarehe zinapoanza na mud ahusika ili usijikute una masomo mengi zaidi ya ratiba yako kimaisha.

kamata hii link:
www.coursera.org

Otherwise.Tutegemee wachangiaji kuwa wajinga siku zote humu ndani.Na kuishia kudandia mambo wasiyoyajua wakitegemea watayajua kwa kubishana.Hii itawa frustrate wengine wanaojua na itapunguza ufanisi kwani, mamabo hayatajadiliwa kwa kiwango cha kutosha na fikra zitaishia kati ya uelewa wa juaye na asiyejua, n ahakuna wa kurekebisha uelewa wa mwingine.
 
safi sana, i never realised dat i needed this until i saw t. PS؛‎ nmependa ur last words :D so true
 
safi sana, i never realised dat i needed this until i saw t. PS؛‎ nmependa ur last words :D so true

umetembelea lakini?bado hawajaweka course nyingi sana, ila ni vyema ukapiga unazopenda then next time wakiweka level mpya unatinga.By far ni bora kuliko online courses nyingi na walimu wake wa hali ya juu sana toka vyuo vikubwa na vingine vinaongezeka.
 
umetembelea lakini?bado hawajaweka course nyingi sana, ila ni vyema ukapiga unazopenda then next time wakiweka level mpya unatinga.By far ni bora kuliko online courses nyingi na walimu wake wa hali ya juu sana toka vyuo vikubwa na vingine vinaongezeka.

yap, tayari but my classes have not yet began. Looking 4ward to it
 
thanx alot.....haya ndo mambo tunataka humu jf hasa kwenye hili jukwaa la elimu.....
 
Nime sign up for dc issue waneniambia niwe na subira ni kweli bure au ndio baadae kudaiana tena maana daah, mtandao bwanaa
 
Nime sign up for dc issue waneniambia niwe na subira ni kweli bure au ndio baadae kudaiana tena maana daah, mtandao bwanaa
Ni bure kabisa na sababu za msing sikiliza hii video then angalia suggested hapa Computing Conversations: Daphne Koller and Coursera - YouTube



Kitu kizuri hapa ni kwamba kuna course ambazo huzingeweza zisoma bongo, kwa vile ungeulizwa kama umefaulu sijui masomo gani na gani.Ila hapa unaweza soma bila hata kuhitaji cheti.Mfano ulianzia katik sayansi ukaja katika business ila shule walikupitisha haraka kwa staili ya vyuo vyetu.Sasa hapa unaweza zisoma vizuri na kupata concepts bure.

Kuna cource kama artificial (AI)hapa bongo hakuna pa kupata,Kuna cource kama za word history ,kuna historia za mataifa makubwa.Hakuna hizo cource zenye ubora na za kupanua itazamo katik vyuo vyetu, ndio wataalamu wetu wana twisted understanding ya haya mambo.Kuna mengi amabayo kitakachokubana na mahitaji ya kozi na si sheria za mtu.


Huwezi amini walimu wake wanaipenda kazi yao sana,wana tutorial nzuri, wana materials kuanzia powerpoint, videos kwa kila topics, wana wiki ya kila somo kama weekedia, na kuna study groups nyingi sana unazoweza jiunga na ku discuss nao.Kupitia tools za website hiyo,na unaweza download hizo video ,powerpoint, pdf zote.
 
Last edited by a moderator:
Nime sign up for dc issue waneniambia niwe na subira ni kweli bure au ndio baadae kudaiana tena maana daah, mtandao bwanaa
Ni bure kabisa na sababu za msing sikiliza hii video then angalia suggested hapa Computing Conversations: Daphne Koller and Coursera - YouTube


Kitu kizuri hapa ni kwamba kuna course ambazo huzingeweza zisoma bongo, kwa vile ungeulizwa kama umefaulu sijui masomo gani na gani.Ila hapa unaweza soma bila hata kuhitaji cheti.Mfano ulianzia katik sayansi ukaja katika business ila shule walikupitisha haraka kwa staili ya vyuo vyetu.Sasa hapa unaweza zisoma vizuri na kupata concepts bure.

Kuna cource kama artificial (AI)hapa bongo hakuna pa kupata,Kuna cource kama za word history ,kuna historia za mataifa makubwa.Hakuna hizo cource zenye ubora na za kupanua itazamo katik vyuo vyetu, ndio wataalamu wetu wana twisted understanding ya haya mambo.Kuna mengi amabayo kitakachokubana na mahitaji ya kozi na si sheria za mtu.


Huwezi amini walimu wake wanaipenda kazi yao sana,wana tutorial nzuri, wana materials kuanzia powerpoint, videos kwa kila topics, wana wiki ya kila somo kama weekedia, na kuna study groups nyingi sana unazoweza jiunga na ku discuss nao.Kupitia tools za website hiyo,na unaweza download hizo video ,powerpoint, pdf zote.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom