jembe_jembe
Senior Member
- Apr 14, 2015
- 185
- 66
Endelea na dawa bila kukosa, utajifungua salama, kikubwa ku control presha vizuri. Hospitalini wanatoa kinga ya kifafa cha mimba kwa wale wenye presha ya juu sana, ila wata kulaza wakiona ipo juu sana ili waweze kuishusha na kukupa hiyo kinga ambayo ni ya sindano.
CC ringson
CC ringson