King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
kwenye blue matunda yanaongezea nini katika kukinga, na je vipi akiwa mjamzito kwa mara ya pili apunguze hicho kiasi cha matunda? naomba unifahamishe kiundani hapa madau.
Pia kwa kuongezea ni muhimu mama mjamzito kujitahidi kupunguza kiwango cha chumvi anayotumia, na hasa chumvi ya kuongezea mezani (raw salt)na pia kuongeza kiasi cha matunda anachokula. Kwa mimba ya kwanza, ni vizuri kufanya utaratibu wa kujifungulia hospitali kubwa just incase (badala ya zahanati).
Kuna kituo hapo kabla ya issue ya mimba ya kwanza ndugu. Kujibu suala lako, matunda yatasaidia katika ku-balance diet, na hivyo kupunguza uwezekano wa presha, ambayo ndo underlying cause ya kifafa cha mimba. Pia wakati mjamzito anakuwa anatamani kula kila wakati, akijitahidi kula matunda kwa wing itasaidia pia kutokuwa na uzito wa kupita kiasi.Mimba ya kwanza inahitaji uangalizi zaidi na dharura zaweza tokea, ikiwemo hii ya kifafa cha mimba. All in all, ushauri wa daktari unahitajika, as no two people/patients are the same.