Elimu katika ndoa

Habari yako Gaijin.....
Well said...
Mwanaume ni kiongozi....na kiongozi anapaswa kuwa juu....kuona mbali zaidi ya anaowaongoza......

Yap Mkuu, mwanamme kiongozi. Sasa mtu kila kitu mwanamke yuko juu, amani itapatikana kweli?!

Isitoshe kwa jamii za Kiafrika mke si wako peke yako, familia yako inakuwa ime-adopt mtoto. Hapo sasa! Bi dada akifanya dogo tu itakuwa anamuendesha mumewe kwa sababu kasoma.
 
kilimasera umri nimemzidi miaka miwili yeye ana miaka 28 na mie 30 yrs
 
shule nitapiga kimtindo kwa sababu dada mwenyewe huwa ananimbia kwa mbali ..anajua nitachukia sipendi kupiga shule zaidi ya business ila yeye kila mara ananimbia anataka akafanye Ph D Germany..Ndicho kisa cha kuniganda mpaka basi..
wait a minute!!!! anataka akafanye PHD wewe bado na form six yako???? r u serious u wanna marry this lady?? unachobabaika ni yeye kukujali sana sasa hivi???have u pictured ur self with her akiwa anaitwa DR, so and so and u??? not even a degree???kama unabusiness ya uhakika kuweza kumzidi yeye financially pamoja na hizo shule zake haina shida, lakini kama hela zenyewe ni za kuzichungulia sikushauri!!anaweza yeye asiwe na tatizo lolote lakini wewe utaanza kupata inferioty hapo ndio shida itakapoanza maana kila atakochosema, atakachofanya wewe akili yako itakuwa inawaza amefanya hivyo bz yeye msomi n ur not! kama umedhamiria jitutumue mwanaume hata kadegree ka kuleta heshima kwa watoto
 
Back
Top Bottom