awezi kunisumua
Kama amesoma kweli na ana akili za kuzaliwa sio za kutumia madesa walizonazo wasomi wengi wa siku hizi...naamini hawezi kukusumbua. La muhimu upime kwanza kama anakupenda kweli... Ila na wewe mzee jimudu kidogo...form six na masters match yake yaweza kuwa ndogo kwa baadae...hujachelewa
Cheki majibu, wanawake wengi watakuambia "haisumbui" kwa sababu wengi wanaishi kwenye 'ndoto'.
Mie nakwambia itakusumbua kwa sababu nature ya mwanamme hawezi kuwa mwanamke amzidi. Mwanzo mapenzi yakiwa moto moto haitasumbua baada ya muda itaanza kukukera kidogo kidogo.
Oaneni lakini jiendeleze kielimu kama hilo haliwezikani (huna interest) basi hakikisha una kitu cha kumzidi sana mkeo. Kama si pesa basi japo elimu ya kiroho.
nashukuru sana kwa ushauri wenu..kwa sababu kuna rafiki zangu wamenikalia koo nisimwachie huyo dada kwasababu ananijari mpaka kapitiliza..
Nampenzi wangu amenizidi elimu yeye ni mwanamke ana masters of chemical engineering na mie ni mwanume elimu yang form six... Sasa tunataka kuoana, kwenye ndoa huyu mwanamke hawezi kunisumbua kwa sababu ya kigezo cha elimu yake??