- Thread starter
- #21
Ndugu angalieni tusiweke ukabila, kinachotakiwa ni kwamba elimu bure iwe kwa watanzania na si Kilimanjaro, kumbukeni kodi zote za watanzania zisaidie watanzania wote, Tukiungana pamoja twaweza daima.
Tuhimizane kuwa na maendeleo kwa wote maana watoto ni wetu sote, Kenya wameweza kwanini sisi tusiweze?
Soma post kwanza na kisha uilewe, siyo unarukiarukia tu utakujapata mimba mangi