Kwa kuwa chama cha CHADEMA ndicho kilichopata viti vingi vya ubunge na udiwani ktk mkoa wa kilimanjaro, na kwa mujibu washeria za nchi yetu CHADEMA ndio watakaounda serikali ya mkoa huu kwa hiyo ni moja kwa moja kuwa ILANI ya chama itaanza kutekelezwa mkoani kilimanjaro, kwa hiyo ni mategemeo yangu kuwa elimu na hospitali zitakuwa ni bure, labda kama nimekosea mwenye uelewa zaidi anipe mwongozo.