Japo mjadala umechelewa lakini kuna umuhimu wa kufanya hilo kongamano.
Kwa kuwa ni mjumbe, natarajia kuhudhuria.
1. Nitapenda kufahamu master plan ya taifa ya masuala ya nishati na mpango wa utekelezaji wake.
2. Nitahoji sababu za kitaalam za kutochukua hatua haraka kukabiliana na mgao licha ya tatizo kufahamika miaka mingi ilopita.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.