kipipili
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 1,590
- 183
- Thread starter
- #21
hahaahahaha who cares? mkuu sumbawanga si kuna posho. Siyo kwamba sitaki malipo bali niko tayari hata kwa kujitolea mazeeahahahaa...MKUU NAONA KAMA UNATANIA...hivi nikikupa kazi mwisho wa mwezi itakuwaje??...na familia yako unaiaga unaenda kazini mara safari site sumbawanga unarudi after 5 days na mwisho wa mwezi mama anakuangalia tuu mzee wa ku-voluntia"???... sema bei yako bana acha masikhara. KAZI BILA MSHAHARA NI NGUMU KIDOGO.