Election Expenses Bill 2009

Kwanza rais si kazi yake kutafsiri sheria, katika mihimili ya state muhimili wenye kazi ya ku interpret sheria ni judiciary, na judiciary imesema mgombea binafsi ruksa, halafu kuna huu utumbo mwingine unakuja hapa kwamba michango yote ni lazima itoke chamani.

Rais anatuma ujumbe kwa mahakama kwamba hajakubali suala la mgombea binafsi kuruhusiwa kugombea nafasi za uongozi? Kama anaheshimu maamuzi ya mahakama mbona anajitwika kazi isiyo yake ya kutafsiri sheria? Mbona anaboronga kwa kulazimisha michango itoke vyamani wakati mahakama inasema mgombea binafsi ruksa?
 
Kwanza rais si kazi yake kutafsiri sheria, katika mihimili ya state muhimili wenye kazi ya ku interpret sheria ni judiciary, na judiciary imesema mgombea binafsi ruksa, halafu kuna huu utumbo mwingine unakuja hapa kwamba michango yote ni lazima itoke chamani.

Na ni lazima iende chamani!! hakuna kumchangia tena mgombea mwenyewe na wagombea hawaruhusiwi kuwa na fundraising zao wenyewe at least within miezi mitatu kuelekea uchaguzi!
 
Na ni lazima iende chamani!! hakuna kumchangia tena mgombea mwenyewe na wagombea hawaruhusiwi kuwa na fundraising zao wenyewe at least within miezi mitatu kuelekea uchaguzi!

Vipi kama mimi sina chama na ninataka ku exercise constitutional rights zangu za kugombea katika uchaguzi kama ilivyopitishwa na mahakama?

Rais anataka kubishana na mahakama?
 
Hakuna jipya hapa bila ya kubadilisha sheria ya ruzuku kwa vyama vya siasa na kwenda kwenye uchaguzi kwa usawa kwa kila chama na pia kama kweli basi kila chama kipate ruzuku sawa maana haitakuwa na maana yoyote ile hapa
 
nimeisoma.. ndio maana nimeuliza... siulizi kutoka hewani! Yaani, mtu mmoja tunampa madaraka ya kuamua nini kinafanyika kwenyejimbo? Hivi huoni kuwa unintended consequences zitasababisha baadhi ya majimbo kutengewa fedha zaidi na hilo la "etc" ndio linandokeza discretion kubwa ambayo tunataka kumpa mtu mmoja. Sheria haiweki kanuni hasa ya kugawa hizo fedha kwa wagombea au kwa jimbo. Kuna majimbo yatapata zaidi (maana yake wagombea wake watakuwa na uhuru mkubwa wa kujitangaza, na majimbo mengine yatakuwa na fedha kidogo na matokeo yake yanaweza kutabiriwa)?

Huoni kwamba katika misingi hiyo the incumbent atakuwa na unfair advantage?

Unapokubali kuwa serikali iweke mipaka ya kiasi kinachoweza kutumika kwenye jimbo, je uko tayari kuona serikali ikiweka mipaka idadi ya magari, vipeperushi, matangazo ya radio, tV n.k ambayo chama kinaweza kuyafanya kwenye jimbo ili kuleta uwiano? Je huoni kuwa inatishia uhuru wa kujieleza?

Trust me you are just complicating things here!!! provided the limit applies to all parties that is fair!!! hapa sio mbinguni mkuu... ndio maana wewe uko America mimi niko Bububu....

Anyway can you be gentleman kwa kusema haya sio ya JK please... b'se you always want to consider him as he never think... can you please say that right here!!!
 
Hakuna jipya hapa bila ya kubadilisha sheria ya ruzuku kwa vyama vya siasa na kwenda kwenye uchaguzi kwa usawa kwa kila chama na pia kama kweli basi kila chama kipate ruzuku sawa maana haitakuwa na maana yoyote ile hapa

Josh Michael... kuna vitu viwili tofauti hapa na we need to be clear.

Ni upuuzi mkubwa kwamba chama chenye mbunge mmoja kipewe 100TSh. na chama chenye wabunge 200 kipewe 100TSh... yaani hapa panaonyesha ugonjwa wa Hesabu umeenda mpaka bungeni na kwenye vichwa vya viongozi wetu...

Uwiano ni mzuri sana maana CHADEMA ikipata wabunge 200, they will get their deserved share ... easy ....

Ati leo nikianzisha chama kikawa na wafuasi 200x 8mikoa = 1,600members- nipewe ruzuku sawa na chama chenye wafuasi mil. 3. au 4... does this make sense.

Dawa kuwa na sera nzuri convince watanzania uwe na wafuasi wengi and then wabunge wengi u will have lion share... easy.
 
Vipi kama mimi sina chama na ninataka ku exercise constitutional rights zangu za kugombea katika uchaguzi kama ilivyopitishwa na mahakama?

You are not welcome anyway.. they don't even think of your existence nor of your so called "rights".. Lol

Rais anataka kubishana na mahakama?
He just did.
 
Vipi kama mimi sina chama na ninataka ku exercise constitutional rights zangu za kugombea katika uchaguzi kama ilivyopitishwa na mahakama?

Rais anataka kubishana na mahakama?

Kiranga,

Muna matatizo ya kusoma vitu nusu nusu!!! hili jambo serikali ililieleza vizuri... naomba niwa-quote though sio exactly they way the said

"Kwa kuwa hili ni jambo la kikatiba na kwa kuwa ni jambo zito, tunakata rufaa kwa sababu pia tunataka mahakama ya juu kuliko zote (yaani mahakama ya rufaa) ndio ilitolee uamuzi."
Na mahakama hiyo inaweza kufanya hivyo kwa kupata rufaa tu....Okay
 
You are not welcome anyway.. they don't even think of your existence nor of your so called "rights".. Lol

He just did.

Dang,

Bonge la mtihani kwa judiciary na wapenda haki wote. I am curious to find out if the judiciary will let this so called president bully everybody just like that. In a country that follow it's constitution this is constitutional crisis kinda stuff.
 
Trust me you are just complicating things here!!! provided the limit applies to all parties that is fair!!! hapa sio mbinguni mkuu... ndio maana wewe uko America mimi niko Bububu...


what kind of argument is this? It can't be fair if the results will benefit one party over all others!

NI sawa na kusema ati timu zote zitapewa fedha za kushiriki mashindano, halafu unasema kiwango cha fedha kitategemea wingi wa ushindi wa timu hizo hadi hivi sasa! Kwa maneno mengine timu zilizoshinda zaidi zitapata zaidi.. to you thats fair!

Anyway can you be gentleman kwa kusema haya sio ya JK please... b'se you always want to consider him as he never think... can you please say that right here!!!

mbona unapenda kufoka.. take a notch down! Kama haya yasingekuwa ya JK asingeyazungumzia..
 
Kiranga,

Muna matatizo ya kusoma vitu nusu nusu!!! hili jambo serikali ililieleza vizuri... naomba niwa-quote though sio exactly they way the said

Na mahakama hiyo inaweza kufanya hivyo kwa kupata rufaa tu....Okay

tatizo lako unaignore judicial notice ya Jaji Mkuu kwa Naibu Mwanasheria Mkuu walipokaa mara ya kwanza juu ya suala hili.. do you remember alisema nini?
 
Kiranga,

Muna matatizo ya kusoma vitu nusu nusu!!! hili jambo serikali ililieleza vizuri... naomba niwa-quote though sio exactly they way the said

Na mahakama hiyo inaweza kufanya hivyo kwa kupata rufaa tu....Okay

"Muna matatizo ya kusoma mambo nusu nusu" ? Angalia usije kurusha mawe kumbe wewe mwenyewe unaishi kwenye nyumba ya kioo.

Wewe unaelewa maana ya rufaa? Unafahamu kabla ya hukumu ya rufaa kutolewa nini kina prevail? Ulisikiliza interview ya Mwanakijiji na Phillip Marmo?

Wewe mtu na akili zako unaweza kutetea uzandiki huu wa kutoa haki kwa mkono mmoja na kuichukua kwa mkono mwingine?

Kwanza wanakwambia "Mtanzania yeyote mwenye akili na kutimiza miaka kadhaa ana haki ya kupiga na kupigiwa kura" halafu wnaiondoa haki hiyo kwa caveat "Ooh, ili kupigiwa kura ni lazima uwe mwananchama wa chama cha siasa" ebo, si ushasema Mtanzania yeyote mwenye miaka na akili timamu? Sasa huu ujanja ujanja mwingine unatokea wapi?

CCM wanajinyea kwenye chupi zao kwa kuogopa mgombea binafsi, wanajua kwamba wakiruhusu mgombea binafsi tu watu kibao watajitoa CCM na CCM itakosa monopoly yake ya power, kwa sababu sasa hivi kuna watu kibao wako CCM kwa sababu wanajua ni vigumu kushinda wakiwa chama kingine chochote, na upinzani wetu ni a joke.Kwa hiyo tukiruhusu mgombea binafsi ndiyo mwisho wa CCM.

Ndiyo maana Kikwete anawatumia ujumbe judiciary.

Hata kama ingekuwa kweli rufaa yao inawavalidate in the way you are implying, Kikwete alikuwa hatakiwi kuongelea swala lililo mahakamani under rufaa.In any case Kikwete si mtu wa kututafsiria sheria, hii ni kazi ya mahakama.

Nenda kasome katiba ya Tanzania. Kikwete kwa kujipa kazi ya kutafsiri sheria, amevunja katiba.
 
NI sawa na kusema ati timu zote zitapewa fedha za kushiriki mashindano, halafu unasema kiwango cha fedha kitategemea wingi wa ushindi wa timu hizo hadi hivi sasa! Kwa maneno mengine timu zilizoshinda zaidi zitapata zaidi.. to you thats fair!

[/SIZE]
Only if unashindanisha timu za kiwango kimoja am I right? sio Primier na Daraja la nne... mzee umeamka je leo?
 
Josh Michael... kuna vitu viwili tofauti hapa na we need to be clear.

Ni upuuzi mkubwa kwamba chama chenye mbunge mmoja kipewe 100TSh. na chama chenye wabunge 200 kipewe 100TSh... yaani hapa panaonyesha ugonjwa wa Hesabu umeenda mpaka bungeni na kwenye vichwa vya viongozi wetu...

Of course.. ndio maana wanataka vyama vipate fedha.. wanajua matokeo yake ni chama gani kitapata fedha nyingi na hivyo kitajitangaza zaidi!

Uwiano ni mzuri sana maana CHADEMA ikipata wabunge 200, they will get their deserved share ... easy ....

Watapataje wabunge wengi wakati hawawezi kutumia fedha kama wanavyoona wao inafaa bali wanapiga magoti kwa Waziri ambaye anaawambia kwenye jimbo X, "you can't use more than this much"?

Ati leo nikianzisha chama kikawa na wafuasi 200x 8mikoa = 1,600members- nipewe ruzuku sawa na chama chenye wafuasi mil. 3. au 4... does this make sense.

Of course it doesn't kama mfumo ni kuangalia wingi wa wanachama; sasa yule ambaye ana wanachama wengi si ndio atapata fedha nyingi na hivyo atazidi kupata wanachama wengi zaidi na ambaye serikali yake ndiyo inaamua kwenye jimbo fulani ni kiasi fulani kitaweza kutumika? Sasa itakuwaje kwe jimbo kama Karatu, Moshi Mjini au Mpanda Mashariki wakaamua kupunguza kiasi cha kutumika kwa vyama vyote wakati CCM tayari ina uwezo mkubwa mle ndani ndani? SI vyama vingine vitajikuta vinashindwa kutetea majimbo yao kwa sababu wakitaka kutumia fedha zaidi hawaruhusiwi?

To you that sounds genius and fair!


Dawa kuwa na sera nzuri convince watanzania uwe na wafuasi wengi and then wabunge wengi u will have lion share... easy.

but you can't do that! kwa sababu huwezi kukusanya fedha zako wewe mwenyewe isipokuwa chama na huwezi kutumia kwa kadiri ya uwezo wako isipokuwa to the maximum point iliyowekwa na Waziri anayetoka chama cha wapinzani wako.
 
Only if unashindanisha timu za kiwango kimoja am I right? sio Primier na Daraja la nne... mzee umeamka je leo?


tatizo siyo timu za kiwango kimoja; kwani hicho kiwango kinaamuliwa na timu iliyoshinda mechi nyingi. Sasa sijui wewe ulilalaje leo?
 
tatizo siyo timu za kiwango kimoja; kwani hicho kiwango kinaamuliwa na timu iliyoshinda mechi nyingi. Sasa sijui wewe ulilalaje leo?

Mimi nimeamka murua mkuu... kuna sehemu unachanganya sana mkuu wangu leo sijui imekuwa je... it just doesn't make sense ukipe chama cha familia TZS100 na chama chenye real wanachama same amount... wajanja wangeanzisha vyama... sasa tungekuwa na elfu mbili....
 
Sasa nawauliza tena swali la mwisho, munajua kwamba sasa hivi bila kubadilisha katiba ya jamhuri kuweka mgombea binafsi ni kuvunja katiba hiyo hiyo? kwa kuwa kuna kifungu ndani ya katiba hiyo hiyo kinachosema wagombea wa ubunge, urais etc lazima watokane na vyama...
Na ndio Marmo alisema even if they want to comply they will need to change the current constitution... Mwanakijiji what is your take on this?
 
I can't believe that people are actually supporting this monopolistic totalitarian domination by the hideous CCM political machinery.
 
it just doesn't make sense ukipe chama cha familia TZS100 na chama chenye real wanachama same amount... wajanja wangeanzisha vyama... sasa tungekuwa na elfu mbili....


aha!! kumbe tatizo ni kuwa chama chenye "real wanachama" hakina wanachama wa familia.. yawezekana wenzetu definition yao ya "familia" ni pana zaidi kuliko ya kile chama cha "familia"!!!
 
Back
Top Bottom