Hongera sana Rais Kikwete kwa kuwang'oa mafisadi CCM. Usirudi nyuma.Hatakama mafisadi watawatumia upinzani.Msimamo ubaka pale pale 90 days.No retreat no surrender. The determination should remain in force i.e 90 days. Nauye endelea kuwaumbua mafisadi wanaoitafuna nchi.Usiogope vitisho.Nchi ipo nyuma yako.We must purify our party which was doomed to die because of Mafisadi. Let the mafisadi go. Really, Kikwete you have left a legacy!
kwa kifupi kuna uchafu mwingi sana sana ..ambao ina maana waliokuja na hii hoja ya kujivua gamba waatakuwa na kazi moja kubwa ya kuondoa mafuta kwenye maji...ili waweze kumwaga maji....wakikosea tu watamwaga na mafuta...
- Tayari watanzania ambao walikuwa hawamfahamu jk wanaaza kuambiwa kuwa yeye alishakula rushwa ya IPTL ..
- Enzi akiwa waziri wa nishati..moja ya rushwa ya mwanzo ya nishati,rushwa ya Saclair...,na kuwafukuza wachimbaji wadogo wa madini,[wanasema alikuwa anatafuta pesa ya kugombea urais mwaka 1995], na ushahidi wanao nafikir wapinzani wameshapatiwa,
- rushwa ya pesa za ubalozini,..[Luhanjo anajua alikuwa PS wake Aliyehama naye]
- .....EPA ..[kupata pesa za kugombea 2005],
- stimulus package, kuna list ndefu ya makampuni ambayo ana hisa au anamiliki ..,[inafanyiwa kazi]..,
- mwanaye ana malori mengi sana ya kupeleka mafuta ..na anachukua advantage lakupasuka mara kwa mara kwa bomba la TAZAMA ...isivyokaawaida...
- Congo connection..,
Uchaguzi mkuu wa ndani wa CCM mwaka 2012 ..utakuwa muhumi mno ku determine future ya hichi chama kikongwe na urais wa Kikwete ...na hata uwezo wake wa udhibitu kuelekea mwaka 2015
Hiyo ni poa Hadi nasisimka****** kamwaga ugali nao mapacha watatu watamwaga mboga.
Hamna kitu hapa naachana na hii thread
Hao wanaotaka kuandamana amewalipa shilingi ngapi ili wamsaidie. MCHUNGAJI KWELI HII IMEKAA KISHIGONGOSHIGONGO VILE!
Kujivua gamba kwa staili ya kufukuza mafisadi CCM kulihitaji utashi kama aliokuwa nao sokoine ,nyerere au kawawa...waliomshuri JK hii strategy beleave me wanataka aanguke kama MBEKI .....read this date...utakuja kuniambia.....,nadhani hata kikaoni ilizusha walakini ,lakini kwa kuwa JK alishatekwa nyara na kundi linalotaka kulipiza kisasi na kujipanga kwa mwaka 2015 ,na kwa kuwa huwa hana msimamo akashindwa kubaini...
Tujiulizeni kitu kimoja unapovua gambaa kwa kashfa ambazo zinamuhusu RAIS ,marafiki zake na familia yake ..unamtakia mema rais au unataka kumuengua>>>>ina maana ndani ya siku 90 rais nate ajiengue ..kwa kuwa naye wananchi wanamtuhumu pia...
Kwa wasomi wa historia huwa zinajirudia ,ndio maana hata kwenye sheria ,hukuma za zamani zinatumika....angalieni hili lililotoke ANC karibuni.....,ili kummaliza ZUMMA kisiasa ..mkuu wa usalama wa taifa pale akishiriikiana na mbeki na THE SCROPION ...walimpa zumma kesi ya kifisadi ya rushwa ya silaha...na kesi ya aibu ya kubaka...kwa miaka miwili na zaidi nyumbani kwake kukawa mahakamani ..lakini guess what ...mkutano mkuu wa ANC uliofuatia pale Palakwane,PRETORIA...ulimuengua MBEKI kama rais....na nchi ikawa chini ya caretaker president ......Kgelema Motlanthe.....
Wana CCM WENGI wanadanganywa kuwa CHADEMA ndie adui yao[NI kweli CHADEMA ni wapinzani wakubwa lakini upinzani wao hauna madhara makubwa kwenye PRESIDENCY..unlike upinzani wa ndani ambao at any given time unaweza kusababisha technical coup] ...hii ni ku divert attention ..na kuwaacha huru maadui wa kweli wa Kikwete ndani ya CCM wakiendeelea na mipango yao..tatizo la kikwete ameweka makundi .....mawili makuu ...moja la wapambanaji na lingine linaitwa la mafisadi[yeye akiwamo]......alichotakiwa kufanya ni kuwamwaga wote ....aje na watu huru kabisa wasioegemea upande wowote...lakini kwa sasa ni wazi amecheelewa na kundi la mafisadi wanalo FAILI JEUSI la JK........
Tayari watanzania ambao walikuwa hawamfahamu jk wanaaza kuambiwa kuwa yeye alishakula rushwa ya IPTL ..Enzi akiwa waziri wa nishati..moja ya rushwa ya mwanzo ya nishati,rushwa ya Saclair...,na kuwafukuza wachimbaji wadogo wa madini,[wanasema alikuwa anatafuta pesa ya kugombea urais mwaka 1995], na ushahidi wanao nafikir wapinzani wameshapatiwa,rushwa ya pesa za ubalozini,..[Luhanjo anajua alikuwa PS wake Aliyehama naye].....EPA ..[kupata pesa za kugombea 2005],stimulus package, kuna list ndefu ya makampuni ambayo ana hisa au anamiliki ..,[inafanyiwa kazi]..,mwanaye ana malori mengi sana ya kupeleka mafuta ..na anachukua advantage lakupasuka mara kwa mara kwa bomba la TAZAMA ...isivyokaawaida...Congo connection..,kwa kifupi kuna uchafu mwingi sana sana ..ambao ina maana waliokuja na hii hoja ya kujivua gamba waatakuwa na kazi moja kubwa ya kuondoa mafuta kwenye maji...ili waweze kumwaga maji....wakikosea tu watamwaga na mafuta...
Uchaguzi mkuu wa ndani wa CCM mwaka 2012 ..utakuwa muhumi mno ku determine future ya hichi chama kikongwe na urais wa Kikwete ...na hata uwezo wake wa udhibitu kuelekea mwaka 2015.
Hii post nimeandika kama Mtanzania mzalendo ambaye nina uwezo wa ku analyse mambo kwa undani...sitegemei mtu aijibu kisiasa...mfikishieni!!!!
Mkuu;
Katika ile report ya Mzee Mwinyi ambayo Msekwa na Kinana; AK47 alitaka Mafisadi watoswe. Piusi Msekwa aka PM alitaka wabaki. Hawakufukuzwa. Sasa hivi katika CC iliyomalizika PM aliwataja Mafisadi kwa majina na AK47 ndiye aliyetoa wazo CC yote ijiuzulu.
AK47 alikuwa walikuwa na JK jeshini na ndiko walikofahamiana na yeye ndiye aliwakutanisha JK na EL. AK47 ana makazi Arusha ambako inawezekana ndiko alikokutana na EL akiwa pale AICC.
Hamna kitu hapa naachana na hii thread
AK47 na EL wamesoma wote sekondari.......nadhani Old Moshi kama sikosei
Hongera sana Rais Kikwete kwa kuwang'oa mafisadi CCM. Usirudi nyuma.Hatakama mafisadi watawatumia upinzani.Msimamo ubaka pale pale 90 days.No retreat no surrender. The determination should remain in force i.e 90 days. Nauye endelea kuwaumbua mafisadi wanaoitafuna nchi.Usiogope vitisho.Nchi ipo nyuma yako.We must purify our party which was doomed to die because of Mafisadi. Let the mafisadi go. Really, Kikwete you have left a legacy!