EL; RA & AC Wamtunishia Misuli JK: Wagoma Kujibu Barua

Mkuu kama JK akiamua kikamilifu hakuna cha kumwaga damu wala nini hata kama yeye amechafuka. Akitumia mamlaka yake yote ya Urais na Serikali, no body can question him anything na kuna baadhi ya sheria na hata katiba vinampa nguvu ya ajabu.

A one million dollar question ni kuwa: Je ataweza? can hes JUST DO IT?

Ninavuta fikra namuona Hitller,Mussolin,Mobutu,Frangoiz,Fujimor,Idd amin na Dola ya Rumi moja ya tawala ngumu kabisa zilizopata kuwepo duniani! Pembeni naziona ALAMA ZA NYAKATI ambazo kiongozi mkuu ni MUNGU!! Je ccm itazishinda alama za nyakati? na je tayari zishafika? Jibu lipo kwa waungwana na wenye MAONO!!!!!!
 
Mkuu;

Katika ile report ya Mzee Mwinyi ambayo Msekwa na Kinana; AK47 alitaka Mafisadi watoswe. Piusi Msekwa aka PM alitaka wabaki. Hawakufukuzwa. Sasa hivi katika CC iliyomalizika PM aliwataja Mafisadi kwa majina na AK47 ndiye aliyetoa wazo CC yote ijiuzulu.

AK47 alikuwa walikuwa na JK jeshini na ndiko walikofahamiana na yeye ndiye aliwakutanisha JK na EL. AK47 ana makazi Arusha ambako inawezekana ndiko alikokutana na EL akiwa pale AICC.

who z AK47?
 
Kuongeza msisitizo ni kwamba Kinana alishawahi kuwa Mbunge wa Arusha Mjini wakati EL akiwa AICC. Lowassa alipotoka AICC ndipo alienda kugombea Ubunge jimbo la Monduli, so you can connect more dots.

Kabla jimbo la Arusha Mjini halijaangukia mikononi mwa NCCR Mageuzi mwaka 1995 (through Makongoro Nyerere), Kinana ndiye aliyekuwa na influence kubwa sana kwenye siasa za mkoa wa Arusha, sawa na Lowassa alivyo kwa sasa japo umaarufu wake unapungua kwa sasa. Kwa hiyo Kinana na Lowassa kuwa karibu siyo kitu cha ajabu, lakini pia kwenye siasa huwa hakuna rafiki wa kudumu, kinachoangaliwa huwa ni maslahi ya wakati huo na maslahi ya chama.

CCM wanachofanya sasa ni kulinda maslahi ya chama na wako tayari kumtosa mtu yeyote kwa kuogopa kwamba wasipojirekebisha 2015 hawataambua kitu na kwamba Urais ukienda upinzani hakuna ambaye atapona ndani ya CCM so ni heri kuwatosa wanao onekana wanakichafua chama ili angalau kurudisha imani kwa wananchi na hivyo wasiwe na kibarua kigumu cha kuiba kura kama ilivyokuwa uchaguzi uliopita. Lakini kazi ngumu sana iko mbele yao maana hatua wanazochukua zinaweza kukiua chama kirahisi sana.

And the truth is hawataweza mwisho wa siku watageukiana wao kwa wao na mzalendo mmoja ataibuka kuikomboa Tanzania yetu. Mpaka sasa sijajua huyo mzalendo atatoka CHADEMA ama CCM lakini ni kuwa hii regime ufalme wake umepimwa nao umeonekana kuwa umepungua. I am still with my song hakuna fisadi atakatiza hili gharika.
 
Nimeoteshwa kuwa huu mkakati wa kujivua gamba la RACHEL, utaharibiwa na Jk kwa undumilakuwili alio nao. Na kwa kufanya hivyo hali ya Jk na chama chake itakuwa mbaya mara saba ya hivi ilivyo sasa.
Kwa hii info ya Superman, ngoja nilale mapema huenda nikaoteshwa muendelezo wa pale nilikoishia.
.
 
And the truth is hawataweza mwisho wa siku watageukiana wao kwa wao na mzalendo mmoja ataibuka kuikomboa Tanzania yetu. Mpaka sasa sijajua huyo mzalendo atatoka CHADEMA ama CCM lakini ni kuwa hii regime ufalme wake umepimwa nao umeonekana kuwa umepungua. I am still with my song hakuna fisadi atakatiza hili gharika.

The Rise and Fall of CCM in the Making . . . Unless otherwise Genuine Reforms are taken!
 
Kazi kubwa sana!! Nashindwa kuelewa watu wanaotuhumiwa kwa uufisadi wa kila aina wanatengenezewa mazingira ya kujiokoa kwa kila mbinu ikiwamo kupewa majina ya kishujaa kama "Mapacha watatu", "RACHEL" iwe rahisi kutegeneza mazingira ya kum-Zuma Lowassa awe Rais wetu 2015, huku wakimhujumu Dr Slaa kimafia kwa kuhakikisha anapoteza credibility yake kwa umma asiwe presidential material huku wakiamini Zitto walishamchafua na hivyo itakua ngumu kuibuka kwa haraka mtu atakayepambana na EL watakapokua wamemmaliza Slaa. Kwa kifupi Watz wa leo si wa jana ni kizazi cha .com ambacho hakidanganyiki. Hakuna njia nyepesi
 
tujuzeni mi hapa kila mara na-refresh page tu,nasoma each ana every comment..........!!
 
Mkuu Superman,

Hoja nzima ina utata mkubwa sana na mkanganyiko. Siyo kwamba ninaku-doubt na info zako, ila approach ambayo inatumiwa na CCM kuwashughulikia sidhani kama iko sahihi.

Umesema kwamba wameandikiwa barua wajieleze kwanini wasivuliwe uongozi na kufukuzwa uanachama? Hii kwa kawaida huwa ni stage ya pili baada ya mtu kutuhumiwa then tuhuma huchunguzwa na baada ya kuthibitika ndipo hupewa nafasi ya kujitetea au kujieleza kwanini asichukuliwe hatua za kinidhamu. Hilo la kuchunguza tuhuma halijafanyika, sasa hao watuhumiwa watajieleza nini wakati ni tuhuma ambazo wenye chama wanasema "hazina ushahidi".

Risk ya RACHEL kukubali kuvuliwa uongozi na kufukuzwa uanachama ni kufungua mlango mwingine wa kupelekwa mahakamani. RACHEL wakikubali kuondoka, wananchi [wapinzani] wataitaka CCM iwapeleke mahakamani ili wafungwe kwa kuwa wahusika watakuwa wamethibitisha wao wenyewe kwamba ni vinara wa ufisadi. Je, hao jamaa wako tayari kuchukua hiyo risk?

Mkandara jana alisema kwamba ili CCM ijinasue kwa kuwatosa hao jamaa lazima iende mbali zaidi kwa kuwapeleka mahakamani na hayo ndio matarajio ya wananchi na wapinzani.

The whole thing is tricky ... JK is in a big fix na hawezi kutumia madaraka yake ya urais kuwashughulikia. Ni Nyerere tu ndio alikuwa na jeuri hiyo kwa kuwa alikuwa anajiona ni msafi. JK hana usafi wa kiwango hicho, background yake ina walakini mwingi sana. JK akiyatumia vibaya madaraka yake anaweza kujikuta yanamkuta yaliyowakuta akina Bakili Mluzi na Chiluba, maana siasa ni mchezo mchafu unaweza kushughulikiwa na mtu uliyemwandaa au uliyemteua single handed ili agombee urais na akaja kukurudi pindi anapoingia madarakani. Kilichotokea Malawi na Zambia, sote tunajua.

Kukumbusha tu ni kwamba EL na RA bado wana influence kubwa Bungeni na kwenye NEC na hata kwenye Mkutano Mkuu wa CCM. Ndio maana Lowassa aliibuka kidedea kwenye uongozi wa Kamati, Serukamba pia na bado Serukamba akaingia kwenye NEC kupitia wabunge wa CCM na akina Mama Shelukindo nao wameunga boggy la kulamba miguu ya Lowassa. So, hata wakitoswa na chama bado kuna wafuasi wao wengi sana ambao wanaweza kuvuruga uteuzi wa mgombea urais kwa mwaka 2015.

Kitu pekee ambacho ninakisubiri ni kuona mfumo mpya ambao CCM watautumia wa kumpata mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM na pia mfumo mpya wa kupata wajumbe wa NEC labda inaweza kusaidia kukata makali ya nguvu za akina Lowassa ili wasije wakavuruga uchaguzi wa CCM wa mwakani.
 
Mkuu Superman,

Hoja nzima ina utata mkubwa sana na mkanganyiko. Siyo kwamba ninaku-doubt na info zako, ila approach ambayo inatumiwa na CCM kuwashughulikia sidhani kama iko sahihi.

Umesema kwamba wameandikiwa barua wajieleze kwanini wasivuliwe uongozi na kufukuzwa uanachama? Hii kwa kawaida huwa ni stage ya pili baada ya mtu kutuhumiwa then tuhuma huchunguzwa na baada ya kuthibitika ndipo hupewa nafasi ya kujitetea au kujieleza kwanini asichukuliwe hatua za kinidhamu. Hilo la kuchunguza tuhuma halijafanyika, sasa hao watuhumiwa watajieleza nini wakati ni tuhuma ambazo wenye chama wanasema "hazina ushahidi".

Risk ya RACHEL kukubali kuvuliwa uongozi na kufukuzwa uanachama ni kufungua mlango mwingine wa kupelekwa mahakamani. RACHEL wakikubali kuondoka, wananchi [wapinzani] wataitaka CCM iwapeleke mahakamani ili wafungwe kwa kuwa wahusika watakuwa wamethibitisha wao wenyewe kwamba ni vinara wa ufisadi. Je, hao jamaa wako tayari kuchukua hiyo risk?

Mkandara jana alisema kwamba ili CCM ijinasue kwa kuwatosa hao jamaa lazima iende mbali zaidi kwa kuwapeleka mahakamani na hayo ndio matarajio ya wananchi na wapinzani.

The whole thing is tricky ... JK is in a big fix na hawezi kutumia madaraka yake ya urais kuwashughulikia. Ni Nyerere tu ndio alikuwa na jeuri hiyo kwa kuwa alikuwa anajiona ni msafi. JK hana usafi wa kiwango hicho, background yake ina walakini mwingi sana. JK akiyatumia vibaya madaraka yake anaweza kujikuta yanamkuta yaliyowakuta akina Bakili Mluzi na Chiluba, maana siasa ni mchezo mchafu unaweza kushughulikiwa na mtu uliyemwandaa au uliyemteua single handed ili agombee urais na akaja kukurudi pindi anapoingia madarakani. Kilichotokea Malawi na Zambia, sote tunajua.

Kukumbusha tu ni kwamba EL na RA bado wana influence kubwa Bungeni na kwenye NEC na hata kwenye Mkutano Mkuu wa CCM. Ndio maana Lowassa aliibuka kidedea kwenye uongozi wa Kamati, Serukamba pia na bado Serukamba akaingia kwenye NEC kupitia wabunge wa CCM na akina Mama Shelukindo nao wameunga boggy la kulamba miguu ya Lowassa. So, hata wakitoswa na chama bado kuna wafuasi wao wengi sana ambao wanaweza kuvuruga uteuzi wa mgombea urais kwa mwaka 2015.

Kitu pekee ambacho ninakisubiri ni kuona mfumo mpya ambao CCM watautumia wa kumpata mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM na pia mfumo mpya wa kupata wajumbe wa NEC labda inaweza kusaidia kukata makali ya nguvu za akina Lowassa ili wasije wakavuruga uchaguzi wa CCM wa mwakani.

Mkuu Keil;

Hoja zako zote zina upako au mshiko na nakubaliana nalo.

Hili la Barua sio siri, last week akina Nape; Chilligati na Mukama wamekuwa quoted kuwa MAFISADI watapewa barua.

Just MAXENCE Kamanda wetu JF alisema ana info barua zimepelekwa. Souce yangu leo pia imeconfirm kuwa hizo barua zimekuwa received na jamaa wameta ngumu kujibu. Tunasubiri next move na info zore na data zitaletwa hapa.

Mengine yote nakubaliana nayo.

Peace & Love.

Respect.
 
Lakini mie niliwahi kusikia Lowasa na JK walikutana DARUSO mmoja akiwa Rais na mwingine Katibu.Je ni kweli walikutana Arusha?
 
Mkuu Superman,

Hoja nzima ina utata mkubwa sana na mkanganyiko. Siyo kwamba ninaku-doubt na info zako, ila approach ambayo inatumiwa na CCM kuwashughulikia sidhani kama iko sahihi.

Umesema kwamba wameandikiwa barua wajieleze kwanini wasivuliwe uongozi na kufukuzwa uanachama? Hii kwa kawaida huwa ni stage ya pili baada ya mtu kutuhumiwa then tuhuma huchunguzwa na baada ya kuthibitika ndipo hupewa nafasi ya kujitetea au kujieleza kwanini asichukuliwe hatua za kinidhamu. Hilo la kuchunguza tuhuma halijafanyika, sasa hao watuhumiwa watajieleza nini wakati ni tuhuma ambazo wenye chama wanasema "hazina ushahidi".

Risk ya RACHEL kukubali kuvuliwa uongozi na kufukuzwa uanachama ni kufungua mlango mwingine wa kupelekwa mahakamani. RACHEL wakikubali kuondoka, wananchi [wapinzani] wataitaka CCM iwapeleke mahakamani ili wafungwe kwa kuwa wahusika watakuwa wamethibitisha wao wenyewe kwamba ni vinara wa ufisadi. Je, hao jamaa wako tayari kuchukua hiyo risk?

Mkandara jana alisema kwamba ili CCM ijinasue kwa kuwatosa hao jamaa lazima iende mbali zaidi kwa kuwapeleka mahakamani na hayo ndio matarajio ya wananchi na wapinzani.

The whole thing is tricky ... JK is in a big fix na hawezi kutumia madaraka yake ya urais kuwashughulikia. Ni Nyerere tu ndio alikuwa na jeuri hiyo kwa kuwa alikuwa anajiona ni msafi. JK hana usafi wa kiwango hicho, background yake ina walakini mwingi sana. JK akiyatumia vibaya madaraka yake anaweza kujikuta yanamkuta yaliyowakuta akina Bakili Mluzi na Chiluba, maana siasa ni mchezo mchafu unaweza kushughulikiwa na mtu uliyemwandaa au uliyemteua single handed ili agombee urais na akaja kukurudi pindi anapoingia madarakani. Kilichotokea Malawi na Zambia, sote tunajua.

Kukumbusha tu ni kwamba EL na RA bado wana influence kubwa Bungeni na kwenye NEC na hata kwenye Mkutano Mkuu wa CCM. Ndio maana Lowassa aliibuka kidedea kwenye uongozi wa Kamati, Serukamba pia na bado Serukamba akaingia kwenye NEC kupitia wabunge wa CCM na akina Mama Shelukindo nao wameunga boggy la kulamba miguu ya Lowassa. So, hata wakitoswa na chama bado kuna wafuasi wao wengi sana ambao wanaweza kuvuruga uteuzi wa mgombea urais kwa mwaka 2015.

Kitu pekee ambacho ninakisubiri ni kuona mfumo mpya ambao CCM watautumia wa kumpata mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM na pia mfumo mpya wa kupata wajumbe wa NEC labda inaweza kusaidia kukata makali ya nguvu za akina Lowassa ili wasije wakavuruga uchaguzi wa CCM wa mwakani.

Nikuulize swali dogo tu je mpaka sasa kilichofanywa na CCM kwa hatua hii iliyopo siyo evidence tayari kuwa mafisadi wapo humo ndani? Je hudhani kuwa peoples power ikichangamshwa kidogo tu watatoa hukumu ya haki na serikali kulazimishwa kufanya hivyo? Moto huu ulipofikia ni vigumu wote kutoka wazima kwani majeruhi wengine wameungua mpaka 3rd degree kiasi kwamba wanapumua tu lakini uzima ni kwa miujiza na hao ndiyo hatari kuliko majeruhi walio namatumaini ya kupona na kupata another chance ya maisha baada ya kutoka ICU ambao pia watapenda kuwamaliza hao mapema kabla wanaokufa hawaja nyanyua silaha zao za mwisho hapo sasa masaa yamebaki machache kwa Kinu cha Uranium kulipuka baada ya tsunami wenye macho kimbieni 10 km radius from the radiation plant. Sisi wenzenu tulioko huku dunia nyingine tunawaombea wapendwa wetu watoke salama!
 
RACHEL group, mtu pekee ambaye anweza kutoswa ni AC kwa urahisi....Lakini EL jamaa anajiamini sana yaani kupita kiasi ana wafuasi wengi mno katika chama....Kwa ukweli jamaa ni good poker player.

El anaamini hata iweje urais come 2015 ni wake,anaamini hivyo na tuangalie wanasiasa kama kina Chiluba, Gbago,Gaddafi au Mubaraak...Wanasiasa bana ni wagonjwa wakiingiza kitu kichwani basi lazima iwe kwa njia yoyote ile.

Rostam yeye ni hizi pesa zetu ndio zinampa kiburi...Alichoafnya makosa JK ni kutowatosa juzi na jana sasa ndio amewpa muda wa kujitengenezea ngome madhubuti.

Aidha JK ameamua kuwa yeye ndie atakayeivunja CCM pande mbili kama vile KANU au FORD.
 
Nikuulize swali dogo tu je mpaka sasa kilichofanywa na CCM kwa hatua hii iliyopo siyo evidence tayari kuwa mafisadi wapo humo ndani? Je hudhani kuwa peoples power ikichangamshwa kidogo tu watatoa hukumu ya haki na serikali kulazimishwa kufanya hivyo? Moto huu ulipofikia ni vigumu wote kutoka wazima kwani majeruhi wengine wameungua mpaka 3rd degree kiasi kwamba wanapumua tu lakini uzima ni kwa miujiza na hao ndiyo hatari kuliko majeruhi walio namatumaini ya kupona na kupata another chance ya maisha baada ya kutoka ICU ambao pia watapenda kuwamaliza hao mapema kabla wanaokufa hawaja nyanyua silaha zao za mwisho hapo sasa masaa yamebaki machache kwa Kinu cha Uranium kulipuka baada ya tsunami wenye macho kimbieni 10 km radius from the radiation plant. Sisi wenzenu tulioko huku dunia nyingine tunawaombea wapendwa wetu watoke salama!

Hakuna anayebisha kwamba ndani ya CCM hakuna mafisadi. Kinachonikera mimi ni kwamba CCM inataka kucheza na akili ya wadanganyika kwa kutudanganya na dhana ya kujivua gamba bila ya kuchukua hatua ambazo zinatakiwa kwa watuhumiwa. Nape Nnauye na Chiligati wanasema jamaa wana tuhuma ambazo hazina ushahidi. Kwanini wana-judge kwamba tuhuma hazina ushahidi na ilihali hawajazichunguza?

JK hana ujasiri wa kukubali tuhuma hizo zichunguzwe, kwa kuwa akiruhusu hilo lifanyike then wengi wataingia kwenye huo mtego. Hata wale ambao tulikuwa tunawaona ni wasafi tutashangaa tukisikia wanaingizwa. Ufisadi uliofanywa na hao watu uko kwenye syndicate. Tuhuma hizo zikichunguzwa kwa ukweli na uwazi na serikali iliyo madarakani inaweza kujikuta inaanguka au haina uhalali wa kuwa madarakani.

Kamati Teule ya Dr. Mwakyembe ilipochunguza Richmond ilisema wazi kwamba kuna baadhi ya mambo hawakuyaweka kwenye ripoti yao ili "kuilinda" serikali iliyo madarakani. Hii ina maanisha kwamba kama yangeanikwa basi hata Ikulu tungekuta inahusika kwenye hiyo scandal.

Je, JK yuko tayari kuchunguza KAGODA na EPA? Je, hela za KAGODA na EPA hazikutumika kumwingiza JK madarakani?

Asilimia kubwa ya vigogo wa CCM ni mafisadi na ndio maana ninasema wanachofanya kwa sasa ni usanii ili kulinda maslahi ya chama na hakuna cha maana watakachokifanya zaidi ya hizo barua. Jamaa wakigoma kuondoka hakuna atakayewafanya lolote.

Serikali haiwezi kukubali tuhuma za hao jamaa zichunguzwe kwa uwazi, maana zikichunguzwa na JK atakuwa ndani ya dimbwi la huo uchafu wa ufisadi.
 
Wapinzani wasipotumia hii nafasi, basi itachukua muda mrefu sana kuiondosha CCM madarakani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom