The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Kabaila/dhalimu/nduli/beberu wa wajukuu.....
Nimeambiwa amebadilika sijui ni kweli
Kabaila/dhalimu/nduli/beberu wa wajukuu.....
Jana nilitulia mahali na ka saint anne na Fidel80 pembeni
Hivi hapa mnazungumzia nn? Asee hii hangover kila nikisoma post naona zipo mbilimbil.............kwa kweli IDD ya jana Ndovu na Mdudu walipa habari zao......
:hippie:
Hapa anatukanwa nani?Kabaila/dhalimu/nduli/beberu wa wajukuu.....
We kumbe ndio uliniharibia Iddi yangu......:A S angry::A S angry::A S angry:Hivi hapa mnazungumzia nn? Asee hii hangover kila nikisoma post naona zipo mbilimbil.............kwa kweli IDD ya jana Ndovu na Mdudu walipa habari zao......
:hippie:
Hivi hapa mnazungumzia nn? Asee hii hangover kila nikisoma post naona zipo mbilimbil.............kwa kweli IDD ya jana Ndovu na Mdudu walipa habari zao......
:hippie:
Kwa ajili ya hangover yako nakuandalia thupu ya swala
Hapa anatukanwa nani?
Wiselady mambo?
Vipi DOVUTWA akuonekana uko?
hivi kutaja majina kwa sheria mpya ya JF ni kosa Eh?Hapa anatukanwa nani?
We kumbe ndio uliniharibia Iddi yangu......:A S angry::A S angry::A S angry:
Thanx in advance mamiee ngoja nifanye ligistic hapa nije hapo kupata supu ya swala.....upendwa raha jamani...Kwa ajili ya hangover yako nakuandalia thupu ya swala
Vp tena babu?Wiselady mambo?
kama 1 x 1 =1, then 2x2=2...Hivi ulimaanisha jumlisha au zidisha?2+2 ni ngapi tena hommie?
Wajukuu wengine wanashika sharubu za babu bila ridhaa yake.hahaha Dovutwa alinitosa cjui kajichimbia wapi?
hivi kutaja majina kwa sheria mpya ya JF ni kosa Eh?
Babu hata Cm ulikua hupoke wewe bana........ukiwa na wajukuu unakua mkali cjui kwa nn...:A S angry::A S angry:
Nlikuwa namsalimia mjukuu wangu....nimevunja katiba au kanuni?Vp tena babu?
Jumatatu ya leo kiboko....yaani mkoloni hajaingia ofisin hadi saa hizi saa nane....
Inakuwaje tena FL1??? Umeitundika hii picha wakati nilikuambia ni konfidensho?......:doh::doh:....
Nacheki na ivii akupige bana.....
Thanx in advance mamiee ngoja nifanye ligistic hapa nije hapo kupata supu ya swala.....upendwa raha jamani...
Vp tena babu?
Nlikuwa namsalimia mjukuu wangu....nimevunja katiba au kanuni?
hahaha haya babu nilikua nalinda maslahi yangu zaidi......
Chako chako changu chako? unakwenda kinyume na katibaNaproccess ban ya maisha...
hakuna ubishi hommie mi na wewe hatudhuriani........ndo maana nafanya logistic hapa nikamsalimie mjukuu MJ1Maslahi yako ni maslahi halali ya babu...kuna ubishi hapo hommie?
Chako chako changu chako? unakwenda kinyume na katiba
Kwa ajili ya hangover yako nakuandalia thupu ya swala