Eh Bongo tunaua wachina hivi..

Japo sisemi ni ruksa mtu yeyote kuuwawa, lakini foreigners wanatakiwa kujua maeneo salama ya kuishi na kufanyia biashara. Ndio maana wazungu na matajiri wakubwa hawaishi manzese. Wanajua watakua ni target.

Kama Wachina wanajiamini kujichanganya uswazi wasilalamikie yanayowakuta. Ndio yanayotukuta wote tunaoishi kuko. Wawekezaji wenzao wako Obay na mikocheni, wanakunywa bia za Tsh 3000 kwenye clasfied pub kwa ajili ya usalama wao.
 
kwani watanzania hawauwai nje.? Na una support siyo? Hakuna watu wauawaji na majambazi na wezi kama wakenya. Kuja kuzengea kazi za watanzania, i hate the madhafakazi!

Thanks for the comic relief. I dont support murder be it by a Kenyan, Tanzanian or any other person, what am against is some fruits here trying to justify the murder, dont you know that in those murders people have lost brothers, sisters, fathers, good friends etc?

And I know you hate Kenyans, but hate is a b.itch emotion, the p.ussy in a nigga.
 
Hizo ni porojo tu, hata watanzania wanauawa kila siku na jesho la polisi halifanyi kitu. Kama hawafanyi kitu watanzania wakiuawa sijui kama watafanya kitu wachina wakiuawa. Labda majambazi wakianza kuua polisi huenda watakuwa makini zaidi.

Sidhani kama majambazi wanaweza kupoteza muda wao kwenda kuua hohehae ambaye hana chochote. Siku zote wanatafuta mtu mwenye pesa (akiwamo mfanyabiashara wa kichina) ili waweze kufanikisha lengo lao la kupata mali au fedha. kwahiyo sio ajabu kuona tukio la mchina kuuawa maana hata watanzania pia wanauawa tena kwa wingi. Kwahiyo suala la msingi kuhesabu wachina wangapi wameuawa bali kama wao wanaona usalama wao uko mashakani waanzishe jeshi lao la sungusungu ili kuwasaidia polisi kujilinda kwakuwa jeshi letu limezidiwa nguvu. Wao (polisi) mara nyingi huja mbogo tu pale mwenzao anapouawa kama ambavyo tumeshuhudia siku za nyuma. Lakini akiuawa raia wa kawaida upelelezi unaendelea bila kwisha. Tafadhali Mwema do something jeshi lako halitutendei haki watanzania
 
Jana nlikua niko shop kariakoo. Akapita mchina 1 tozi. Wabeba mzigo wakawa wanamtania:

''oyaaaa! Bongo kama china sasaaa. Jinzi kali na tisheti. Hakuna kurudi china tenaaa''

Mchina akawa anacheka tu kwa raha zake. Nkajiuliza, hivi kumbe hawa wachina wamekua expat wa kiswahili namna hii!
 
Katika hili hatiuwezi kusema tunasapoti uhalifu lakini kwa hali ilivyo inashangaza kwa jinsi gani serikali ilivyolala.Wachina ndo wauza urembo kariakoo,wachina ndo wanapiga debe kwenye magari yao ubungo.Kwenye magereji yao wanazaliana kama hawana akili nzuri.Mfano pale Shekilango kuna gereji moja ya wachina ambapo wamejazana kama upupu.Hivi vibali vya kuingia nchini wanavipataje?Tunajua upo ushirikiano mkubwa wa kidiplomasia kati ya Tz na China kutokana na kuwa na idiolojia ya kijamaa uliojengwa enzi za Mao na Nyerere,lakini ni watanzania wangapi wanauza karanga kwenye masoko ya china?Ni watanzania wangapi ni makahaba kule china kama ilivyo kwetu?hawa watu ni very harsh,kule Kagera(Bukoba) wakati wa ujenzi wa barabara ya Bukoba-Muleba kuna vibarua waliwahi kumchinja mchina kwa sababu walikuwa wakinyayaswa.Kwenye upande wa ajira hapa nchini,ukienda mahakama ya kazi na baraza la usuluhishi(CMA) makampuni ya wachina yenye migogoro ya kazi ni mengi kutokana na mazingira ya kazi kuwa mabaya.Dalili ya mvua ni mawingu wazalendo hawa hawana msaada,kuchukua sheria mkononi ndo limekuwa suluhisho.Tumwombe Mungu aepushe balaa zaidi.
 
Back
Top Bottom