jane_000
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 547
- 43
Hii kweli nifundisho kwa dunia nzima pamoja na watanzania mtu moja haogopi kasimama mbele ya gari la police na nikokwenye mwendo mkali sana na police wamesimamisha gari nakurusha maji ya muwasho lakini wabongo sisi wogasana mambo kama haya watu wanakimbia majumbani nakujificha chini ya mvungu wa vitanda lol