mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Ukitaka kuchungulia kaburi kwa kufa na presha, kutana na Benk yenye matangazo makubwa yenye nakishi nakishi, ndio utajua kuwa Benki hii haifai, Benki hii licha ya kuweka vipeperushi vingi vya mikopo masharti nafuu pia na mapokezi bora ni benk mbaya kuliko zote nchini.
Ukifika utapewa mhudumu na kuanza kukusikiliza, baada ya hapo atakutembelea kwenye biashara zako, pia vitu vya kuweka kama dhamana , ataomba BS, Kitambulisho, Bili za maji/ Umeme/ Barua ya Mtendaji, Leseni, Mikataba ya nyumba, Daftari ya mapato ya kila siku, baada ya hapo, watakuambia ufungue akaunti, kuleta hati ya nyumba na kutoa 150,000/= za evaluator, baada ya hapo, watakuambia weka 350 ya kuomba mkopo kama processing fee, utasubiri utembelewe upya na boss wa kitengo baada ya mwezi utapigiwa simu njoo uchukue doc zako, umekataliwa, huku utakuwa umeishaumiza kama laki sita hivi maana simu, na gharama za kufuatilia kama kuweka mafuta kwenye gari.
Kuweni makini na jamaa hawa ukitaka kuamini kila huendapo pale utakuta wateja wengi wamenununa kama wanataka kupima ukimwi. Badala ya furaha wanakupotezea muda na kukuaribia siku.
Kwa wale ambao hawaijui ipo pale kijitonyama jirani na ACB LETICIA HOUSE
Ukifika utapewa mhudumu na kuanza kukusikiliza, baada ya hapo atakutembelea kwenye biashara zako, pia vitu vya kuweka kama dhamana , ataomba BS, Kitambulisho, Bili za maji/ Umeme/ Barua ya Mtendaji, Leseni, Mikataba ya nyumba, Daftari ya mapato ya kila siku, baada ya hapo, watakuambia ufungue akaunti, kuleta hati ya nyumba na kutoa 150,000/= za evaluator, baada ya hapo, watakuambia weka 350 ya kuomba mkopo kama processing fee, utasubiri utembelewe upya na boss wa kitengo baada ya mwezi utapigiwa simu njoo uchukue doc zako, umekataliwa, huku utakuwa umeishaumiza kama laki sita hivi maana simu, na gharama za kufuatilia kama kuweka mafuta kwenye gari.
Kuweni makini na jamaa hawa ukitaka kuamini kila huendapo pale utakuta wateja wengi wamenununa kama wanataka kupima ukimwi. Badala ya furaha wanakupotezea muda na kukuaribia siku.
Kwa wale ambao hawaijui ipo pale kijitonyama jirani na ACB LETICIA HOUSE