Upumbavu mtupu
ahahahahahhahahha una mambo weye!kwa mwendo huo lazima unahitaji maombi kanisani kwetu,kanisa letu linaitwa MMU WOMEN SPIRITUAL CHURCH!
Source ; The Boss.
mkianza deliverance mniambie
nije ku confess lol
sijui mnatumia mbinu gani?
mi napenda ile mbinu ya kufanya kwa mara ya mwisho lol
mfano deliverance ya pombe,na pombe inaletwa
Aaaaamen, maana sie wengine majini mahaba huwa yanatuwinda usiku na mchana mbayaaaa........
Yaani ukiwa delivered hata hiyo hamu haitapatikana, so the moment unaingia mlangoni unakumbana na anointing.
AHAHAHAHA!tena ili upako uwapate vizur itabidi uongozane na lile convoy lako looooote Dark City, Mtambuzi, Kaizer, platozoom, Asprin, TANMO SnowBall paulss na wengine woote wa mrengo wa kulia!mkianza deliverance mniambie
nije ku confess lol
sijui mnatumia mbinu gani?
mi napenda ile mbinu ya kufanya kwa mara ya mwisho lol
mfano deliverance ya pombe,na pombe inaletwa