Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,034
hehehehe!...Yani hiyo permanent solution ya kabaridi inabidi iwe imetulia si unajua tena??? atakayeweza kukidhi mahitaji mara kwa mara?????
hako kanafasi kanamfaa x-pin
hehehehe!...Yani hiyo permanent solution ya kabaridi inabidi iwe imetulia si unajua tena??? atakayeweza kukidhi mahitaji mara kwa mara?????
i am az pamanent az Zuma..............i keni bi yua blanketi chapa mtu. yu donti nidi apruvo fromu Xpin.Usitishe zoezi wakati umesema unatafuta pamanenti solusheni???
Vipi, kwenye mashairi umeshindwa?AAH!mamaa wa avatorz....
nijalie hali yako
2010 2ko kikazi zaidi .
you said it all dear!
nimewapotezea!hawajibu.Vipi, kwenye mashairi umeshindwa?
hehehehe!...
hako kanafasi kanamfaa x-pin
hehehehe!...
hako kanafasi kanamfaa x-pin
Fidel kabanwa na mtoto wa uswaz si unamuona mwenyewe hapo juu alivyosema???
hehehehehehe!Ona unavyompigia debe Xspin wakati ana mwenza unataka nimwagiwe tindikali kwa uso???? Halafu na wewe G, yani nimechelewa kiduchu tu kiduuuchu................................
i am az pamanent az Zuma..............i keni bi yua blanketi chapa mtu. yu donti nidi apruvo fromu Xpin.
maanake HEIGHT ZETU ZINALINGANA...hehehehehehe!
halafu mimi ni wa taipu yako,si eti eeh?!
Hivi Jacob Zuma ana wake wangapi vile?
Unajua mm bado nipo kwenye mikakati ya kutafuta mchumba huku uswazi tunarusha roho tu...kumbuka mikakati yangu ni 2012 nataka niwe na mwali ndani.
AAH!mamaa wa avatorz....
nijalie hali yako
Ona unavyompigia debe Xspin wakati ana mwenza unataka nimwagiwe tindikali kwa uso???? Halafu na wewe G, yani nimechelewa kiduchu tu kiduuuchu................................
JS location yako utata
hapa nilipobold ndo mnakutana na kina Nguli na Xpin?
Location: Home/Office/Bar/Saloon
JS location yako utata
hapa nilipobold ndo mnakutana na kina Nguli na Xpin?
Location: Home/Office/Bar/Saloon
maanake HEIGHT ZETU ZINALINGANA...
ingekuwa poa sana