Eeehh....Ndivyo Hivyo

The Finest

JF-Expert Member
Jul 14, 2010
21,605
6,071
Kama haja kubwa ni LONG CALL na haja ndogo ni SHORT CALL, then,.. Kukaa juu ya choo ni MISSED CALL. Kulenga ndani ni RECEIVED CALL. Kuendesha ni NETWORK BUSY. Watu kupangana nje ya choo ni CALL WAITING. Kumaliza successfully ni CALL SUMMARY. Kuishiwa na tissue ni INSUFFICIENT FUNDS. Mtu kukugongea mlango ni PLIZ CALL ME. Umeenda haja ndogo na ukasikia haja kubwa inakuja hiyo ni CALL DIVERT. Umeenda chooni lakini hakuna kitu kinatoka hiyo ni VOICE MAIL...
 
Kama haja kubwa ni LONG CALL na haja ndogo ni SHORT CALL, then,.. Kukaa juu ya choo ni MISSED CALL. Kulenga ndani ni RECEIVED CALL. Kuendesha ni NETWORK BUSY. Watu kupangana nje ya choo ni CALL WAITING. Kumaliza successfully ni CALL SUMMARY. Kuishiwa na tissue ni INSUFFICIENT FUNDS. Mtu kukugongea mlango ni PLIZ CALL ME. Umeenda haja ndogo na ukasikia haja kubwa inakuja hiyo ni CALL DIVERT. Umeenda chooni lakini hakuna kitu kinatoka hiyo ni VOICE MAIL...
Basi kujamba ni SMS
 
Kama haja kubwa ni LONG CALL na haja ndogo ni SHORT CALL, then,.. Kukaa juu ya choo ni MISSED CALL. Kulenga ndani ni RECEIVED CALL. Kuendesha ni NETWORK BUSY. Watu kupangana nje ya choo ni CALL WAITING. Kumaliza successfully ni CALL SUMMARY. Kuishiwa na tissue ni INSUFFICIENT FUNDS. Mtu kukugongea mlango ni PLIZ CALL ME. Umeenda haja ndogo na ukasikia haja kubwa inakuja hiyo ni CALL DIVERT. Umeenda chooni lakini hakuna kitu kinatoka hiyo ni VOICE MAIL...

heheheeee...mi nina ma missed call kibao..
 
Back
Top Bottom