Naunga mkono hoja.Wenye fikra finyu walete madhambi ya EL
SItaki kuamini kuwa kkuna watu ni vihiyo namna hiyo! yaani kuna watu bado wanataka kila siku watajiwe madhambi ya Lowassa wakati almost every Tanzanian knows ufisadi wa in-fact kama sio fisadi alitakiwa alipojiuzulu azitake mamlaka husika kumsafisha.............
Inawezekana kabisa EL ni fisadi ,,ninachoamini asilimia kubwa ya wa TZ ni washabiki na si watafuta ukweli,,wengi huwa tunajua kushabikia hasa jambo likitokea bungeni maana tunaamini habari za muhimili huo,,lkn tunashindwa kufikiria kuwa kunawatu wanamaslahi binafsi ,,kama EL hafai kuwa rais JK HANA UHALALI WA KULIONGOZA TAIFA HILI MAANA NAE NI FISADI,,,,KAMA SHERIA INATUKATAZA TUSIHUKUMU BILA USHAHIDI BASI TUTAFUTE USHAHIDI WA TUHUMA ZA JK NA EL ,,,nchi hii imeoza inanuka,inatiakinyaa,,,RAIS FEKI,WATENDAJI WAKE FEKI,CCM FEKI WAANDISHI WENGI FEKI,,WANASIASA WENGI FEKI....UCHUMI UMEDORORA ,FALSAFA YA HALI ZAID,KASI ZAID NA NGUVU ZAID IMEFELI .........POOR TANZANIA
Wenzetu walioendelea hawampimi mtu kwa mali alizo nazo, kwanza utajiri ni dalili za uchapakazi, tatizo letu watanzania wavivu, wakufikiri na wakufanya kazi! Edward is a hard working fellow, to me ni afadahli mwizi anayefanya kazi kuliko mtu mvivu!!!
EDWARD MORINGE SOKOINE hakuwah kuwa na kashfa yoyote ya uhujumu uchumi lkn EDWARD LOWASSA ana kashfa nzito za kuhujumu uchumi na kuwaweka watanzania kwenye maisha magumu HATA KAMA mnadai kasingiziwa swali langu ni kwanini akubali kusingiziwa? iwe ni kweli au c kweli lakini tayari LOWASSA anamadoadoa kama kenge.
Wenzetu walioendelea hawampimi mtu kwa mali alizo nazo, kwanza utajiri ni dalili za uchapakazi, tatizo letu watanzania wavivu, wakufikiri na wakufanya kazi! Edward is a hard working fellow, to me ni afadahli mwizi anayefanya kazi kuliko mtu mvivu!!!
SItaki kuamini kuwa kkuna watu ni vihiyo namna hiyo! yaani kuna watu bado wanataka kila siku watajiwe madhambi ya Lowassa wakati almost every Tanzanian knows ufisadi wa in-fact kama sio fisadi alitakiwa alipojiuzulu azitake mamlaka husika kumsafisha.............
Hayati Moringe alikuwa halali, kila siku alihakikisha anapambana vikali na walanguzi pamoja na wahujumu uchumi. Alikuwa ni kati ya mawaziri wakuu bora kabisa. Ngoyae naye akiwa na wadhifa huohuo alihakikisha anapambana na viongozi wazembe kwa nguvu zake pamoja na kuhimiza bidii katika kulijenga taifa.
Moringe alifariki kwa ajali ya gari kabla ya kutimiza ndoto yake ya kuwafyeka wahujumu, Ngoyae yeye alijiuzulu kwa kutwishwa zigo la dhambi za watu wengine ili kupitia yeye waokoke na kuingia katika ufalme wa milele.
Wajuvi wa mambo walitabiri kuwa Moringe ndiye angekuwa mrithi wa Julius wakati wadadisi wa mambo wanaamini kuwa Ngoyae ndiye atakuwa mrithi wa kiti cha Mrisho.
Haya ni maoni, watukanaji watukane! Wenye akili timamu wanakaribishwa sana.
Naamini Lowassa angepewa muda angemwacha mbali sana Moringe katika kuchapa kazi.
kama lowasa sio fisadi kwann alikubali kubeba mzigo wa ufisadi ambao haumhusu.kwann mpaka leo hajawataja wahusika wa richmond.ushahidi wa kimazingira unaonesa lowasa ni mwizi na hawezi kuaminika tena kwa urais wa nchi.