Edward Moringe Sokoine 1938-1984 | Historia na wasifu wake

Aisee nashukuru sana mkubwa kwa kutueleza historia ya huyu shujaa wetu aliyekuwa akipinga mambo ya kuhujumu taifa letu.

Hawa viongozi wetu karibia wote hakuna mwenye uchungu na taifa letu, kila mmoja anaangalia tumbo lake tu.

Ndio maana katika mchango wao katika Rasimu ya katiba sura ya kwanza hawataki:~
1. Uadilifu
2. Umoja
3. Uwazi
4. Uwajibikaji
Kuwa tunu ya Taifa kwani wanaona kuna siku watataka kulihujumu taifa na kuna vifungu kwenye katiba vinawabana.

Mungu ibariki Tanzania, alale mahali pema peponi Hayati mzee Moringe Sokoine.
 
Historia nzuri mkuu lakini hebu tuelezee vizuri hapo kwenye miaka....kazaliwa 1938 halafu miaka kumi tu baadae (1948) akajiunga umbwe mpaka 1958..?? Hivyo miaka kumi sekondari ama...labda utueleze alisoma shule ya msingi kwa miaka mingapi na sekondari pia kwa miaka mingapi kabla hajajiunga na TANU 1961..asante.
 
mpaka sasa hakuna alievaa kiatu cha Sokoine kikamtosha c Jk wala C mmeru Lowassa

Hakuna mtu yeyote atakayeweza kuvaa kiatu cha mwingine kikamtosha.

Not to rain on your parade or anything, truth be told, in many ways Sokoine was a charlatan.
 
Jamani mbona viongozi wetu .Hawa awana hata aibu kila kiongozi heti sokoine alikua mchampakazi.kumbe wao wanalala.akunawanachofanya zaidi kuiba rasilimalizetu
 
pamoja na kumkubali moringe kama administrator na mfuatiliaji mzuri wa yale aliyoyaamini lakini hakuwa na grasp ya uchumi. wale "wahujumu uchumi" alitakiwa awa motivate na kuwapa stimulants waufufe na wauimarishe uchumi kama alivyofanya mwanadiplomasia SALIM AHMED SALIM. WATU WALIFIKIA KUSHONA SURUALI NA SHATI ZA VI SULFATE (mifuko mitupu ya mbolea) - SALIM AKATUTOA KWENYE FEDHEHA THROUGH STIMULATION AND MOTIVATION YA UCHUMI. Mzee RUHSA ndo kabisa akaacha wazi hadi inzi wakainingia kututoa kwenye tope. Wazenji wakipewa fursa wanafanya kweli. NARUDIA MORINGE NILIMPENDA KAMA KIONGOZI WETU LAKINI KASORO NI HIYO NA WATU TUWE WA WAZI
 
Huyu alifikiri kama wazungu!!!! hawakumpenda na hawatakaa wampende hata siku moja mtu anayefiria kama wao(Botha was somehow very right, sad to say)....!!!! wao wanataka mtu anayefikiri kama "mwafrika"..... njaa..., magonjwa... e.t.c so sad.... may be in a thousand years will get someone like him again..... lakini sio viongozi wanaowaza nishani za Washington!!!! so sad!!!
 
pamoja na kumkubali moringe kama administrator na mfuatiliaji mzuri wa yale aliyoyaamini lakini hakuwa na grasp ya uchumi. wale "wahujumu uchumi" alitakiwa awa motivate na kuwapa stimulants waufufe na wauimarishe uchumi kama alivyofanya mwanadiplomasia SALIM AHMED SALIM. WATU WALIFIKIA KUSHONA SURUALI NA SHATI ZA VI SULFATE (mifuko mitupu ya mbolea) - SALIM AKATUTOA KWENYE FEDHEHA THROUGH STIMULATION AND MOTIVATION YA UCHUMI. Mzee RUHSA ndo kabisa akaacha wazi hadi inzi wakainingia kututoa kwenye tope. Wazenji wakipewa fursa wanafanya kweli. NARUDIA MORINGE NILIMPENDA KAMA KIONGOZI WETU LAKINI KASORO NI HIYO NA WATU TUWE WA WAZI


Shujaa huyu kwa bahati nzuri yeye alikuwa na mtazamo mpana juu ya masuala mazima ya ufisadi,wizi,ulanguzi,magendo na rushwa zaidi ya rais wetu wa sasa,huwezi kusamehe wahujumu uchumu ama kushirikiana nao ati kwa madai kwamba unataka kustimulate uchumi,huwezi kustimulate muchumi wakati unacheka na wezi na wahujumu zaidi utakuwa unajifurahisha tu,that y enzi zake wahujumu walianza kujihujumu wao wenyewe mapema kabla ya mkono wa Sokoine
 
Lowassa mara kadhaa amejaribu kumwiga hayati Sokoine katika mambo kadhaa ya kiutendaji bt maigizo yake hayo yalizaa matokeo hasi na kumpiga mweleka wa kisiasa yeye na rafiki zake,
 
Historia nzuri mkuu lakini hebu tuelezee vizuri hapo kwenye miaka....kazaliwa 1938 halafu miaka kumi tu baadae (1948) akajiunga umbwe mpaka 1958..?? Hivyo miaka kumi sekondari ama...labda utueleze alisoma shule ya msingi kwa miaka mingapi na sekondari pia kwa miaka mingapi kabla hajajiunga na TANU 1961..asante.


mfumo wa elimu wa zamani ni tofauti na sasa mkuu,kumbuka zamani mwanafunzi alikuwa anaishia darasa la 4 tu,na kisha kujiunga na middle school ama sekondari kwa majina ya leo,so ni posible kwa miaka 10 kusoma na kuhitimu elimu ya msingi na secondary na bado ukawa compitent & perfomance kiutendaji,tofauti na sasa ukimchania vyeti vyake msomi yeyote wa ngazi ya chuo kikuu na kumtaka aitete elimu yake kwa vitendo atachemka na kubaki akiwaleta watu aliosoma nao ama aliopiga nao picha kma sehemu ya usibitisho kwamba amehitimu ngazi fulani ya kielimu
 
  • Thanks
Reactions: prs
Leo ni kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania marehem Edward Moringe Sokoine, tunakukumbuka na kukuenzi
R.I.P Sokoine
 
Shujaa huyu kwa bahati nzuri yeye alikuwa na mtazamo mpana juu ya masuala mazima ya ufisadi,wizi,ulanguzi,magendo na rushwa zaidi ya rais wetu wa sasa,huwezi kusamehe wahujumu uchumu ama kushirikiana nao ati kwa madai kwamba unataka kustimulate uchumi,huwezi kustimulate muchumi wakati unacheka na wezi na wahujumu zaidi utakuwa unajifurahisha tu,that y enzi zake wahujumu walianza kujihujumu wao wenyewe mapema kabla ya mkono wa Sokoine

Ndugu yangu kama unajua basic principles za uchumi ni kwamba hali iliyokuwa inajitokeza ni supply ilikuwa ndogo ukilinganisha na demand - ndo maana Salim Ahmed Salim alipoingia alilishughulikia hilio na tukaondokana na fedheha za kuvaa mifuko mitupu ya mbolea maarufu kama vi-sulfate. kina mama walianza kuvaa kaniki kama ilivyokuwa wakati wa ukoloni- what a shame!!. nchi huru watu wanapanga misululu ya kupata sukari ya siku mbili, waTanzania wanakwenda ng'ambo na kuvamia maduka kununua dawa ya meno kuja nayo kama bidhaa ya matumizi ya nyumbani na udhalimu wa kiuchumi kibao.

unajua kwa nini moringe alisusa na kurudi kwao Monduli hadi akafuatwa arudi.

mfumo wa uchumi wa kibabe ume-prove failure popote duniani.
 
Ndugu yangu kama unajua basic principles za uchumi ni kwamba hali iliyokuwa inajitokeza ni supply ilikuwa ndogo ukilinganisha na demand - ndo maana Salim Ahmed Salim alipoingia alilishughulikia hilio na tukaondokana na fedheha za kuvaa mifuko mitupu ya mbolea maarufu kama vi-sulfate. kina mama walianza kuvaa kaniki kama ilivyokuwa wakati wa ukoloni- what a shame!!. nchi huru watu wanapanga misululu ya kupata sukari ya siku mbili, waTanzania wanakwenda ng'ambo na kuvamia maduka kununua dawa ya meno kuja nayo kama bidhaa ya matumizi ya nyumbani na udhalimu wa kiuchumi kibao.

unajua kwa nini moringe alisusa na kurudi kwao Monduli hadi akafuatwa arudi.

mfumo wa uchumi wa kibabe ume-prove failure popote duniani.


Binafsi me sijui kama Moringe alisuasa kurudi kwao,labda utuhuze wewe na utupe na sababu za yeyekuchukua uamuzi ho plz
 
ImageUploadedByJamiiForums1402853736.565319.jpg

Edward Moringe Sokoine (1938 - 12 Aprili 1984) alikuwa mwanasiasa kutoka nchi ya Tanzania.

Aliwahi kuwa Waziri Mkuu mara mbili, tangu tarehe 13 Februari 1977 hadi 7 Novemba 1980, tena tangu tarehe 24 Februari 1983 hadi kifo chake, alipofariki kufuatana na ajali ya gari. Sidhani kwa kizazi tulicho nacho tunaweza kupata kiongozi kama huyu nafikiri itatuchukua miongo kadhaa kumpata.

Naomba nitoe story kidogo niliyosimuliwa na rafiki yangu niliyesoma naye kipindi hicho. Ilikuwa ni mwaka 1983 wakati waziri mkuu Edward Moringe Sokoine alipoanzisha Operation Wahujumu Uchumi, ilikuwa ni siku ya jumapili akiwa nyumbani kwake Monduli mkoani Arusha.

Wakati huo baba yake na rafiki yangu alikuwa ni Mkurugenzi wa Wilaya ya Monduli (jina nalihifadhi) na alikuwa ni rafiki yake mkubwa sana na Sokoine, hivyo usiku huo wa jumapili Sokoine akamtembelea huyo Mkurugenzi nyumbani kwake na kumfahamisha juu ya operation yake ya wahujumu uchumi.

Akamuambia operation hiyo itaanza kesho yaani jumatatu, basi Mkurugenzi akampongeza na kumtakia mafanikio mema kwenye hiyo kazi atakayoanza. Baada ya Sokoine kuondoka Mkurugenzi akawaita watoto wake na kuwajulisha zile taarifa alizopewa kuhusu operation, ikumbukwe kipindi hicho ukiwa na sukari, mchele, unga 50kgs au mafuta ya kupikia 20ltrs na vitu vingine kama sabuni, blueband n.k. radio cassete zaidi ya moja, fridge zaidi ya moja au jiko la gas zaidi ya moja wewe ni mhujumu uchumi.

Kipindi hicho hali ilikuwa mbaya sana especially upande wa chakula, basi Mkurugenzi alikuwa na ziada ya vitu nyumbani kwake ikabidi usiku huo waende kuvifukia shambani. Watoto wakamuuliza baba yao kwanini tunaficha vitu vyetu wakati Sokoine ni rafiki yako?
Mkurugenzi akawaambia watoto wake nyie hamumfahamu Sokoine vizuri kama ninavyomfahamu mimi.

Jumatatu asubuhi nyumba ya kwanza Sokoine aliyoanza kuipekuwa ilikuwa ni Mkurugenzi ambaye ni rafiki yake kipenzi. Ndio maana nimesema itachukua miongo kadhaa kupata kiongozi kama huyu M/Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi Amina.






Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom