Tutashukuru kama kweli zipo. Alikuwa anatisha watu kuliko simbaAisee sokoine alinena maneno mazito mno, kuna umuhimu wa kutafuta hotuba zake zote kwa kweli.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Wakati Moringe anauwawa pale dakawa-dumila cdm ilikuwepo? huna haya! wakati Karume anauwawa cdm kilikuwepo? huna akili! wakati wasomi wazalendo walikua na mitazamo kingano walipotimuliwa nchini kama kina Fundikira cdm ilihusika? huna uzalendo! komboa fikra zako! cdm si mpinzani wa Tanzania wala mtanzania ila ni mpinzani wa mfumo gandamizi wa mtumwa na mtwana.
Nchi ya kitu kidogo...! Maccm hapa wamepita kimyakimya ila ingekuwa uzi wa kuikandia CDM pangefurikaHe was a man of people, Sokoine hana wa kufananishwa naye kwa leo hii, ukitaka kuamini kuwa alikuwa threat, nenda Wami Sokoine - Dakawa utapata picha kama kweli waliopo madarakani wana nia ya dhati ya kuenzi juhudi zake, kiasi cha fedha zilizokuwa zinatajwa kwenye vifungu kuwa zinaelekezwa kutengeneza eneo alilofia ili iwe kumbukumbu yake ni tofauti na thamani ya kazi iliyofanyika pale na hakuna anayehoji wala kuchukua hatua,
Ilikiwa si sherehe, April nane nne
Tanzania tunalia, kututoka Sokoine
Nakumbuka wimbo huo uliimbwa sana siku hizo.