Edward Lowassa vs Edward Hosea

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
hawa ni watu ambao kila mtu amelikoroga kivyake.

hata hivyo, mmasai ana nidhamu kidogo. alipoona limebumbuluka, yeye alijiengua kwenye reli.

lakini hiki kichwa kinaitwa hosea kila nikifikiria ninashindwa kupata majibu. hosea amekoroga mambo mengi; kama kiongozi muadilifu alipaswa kuwa amejiuzulu siku mingi sana:

-kusafisha richmond
-kusafisha chenge na kashfa ya rada
-wikiliki

lakini jamaa (hosea) bado ana dunda tu.

hii ni zarau au?
 
hawa ni watu ambao kila mtu amelikoroga kivyake.

hata hivyo, mmasai ana nidhamu kidogo. alipoona limebumbuluka, yeye alijiengua kwenye reli.

lakini hiki kichwa kinaitwa hosea kila nikifikiria ninashindwa kupata majibu. hosea amekoroga mambo mengi; kama kiongozi muadilifu alipaswa kuwa amejiuzulu siku mingi sana:

-kusafisha richmond
-kusafisha chenge na kashfa ya rada
-wikiliki

lakini jamaa (hosea) bado ana dunda tu.

hii ni zarau au?

Huyu ashakuwa sugu kwenye shutuma za kutakiwa ajiuzulu. Kipindi kile cha Richmond si naye alisema wamuulize bosi wake kwani yeye bado ana endelea na nafasi yake!

Labda mkuu wa kaya aamue kumfukuza, manake yeye alishasema hawezi kujiuzulu tokea zamani.



 
He who can no longer pause to wonder and stand rapt in awe, is as good as dead; his eyes are closed. Despite of becoming one of wikileaks star from TZ, Edward Hosea doesn't show any sign to abate! moyoni anajua kinachoendelea!
 
ana mafaili yao wote hao, mengine unaweza kukuta kaya hifadhi nje ya nchi.
 
Sijui Ngw'anangwa ungekuwa wewe kwenye ile nafasi halafu kwa taarifa za vyombo vya habari tu kama ungejiuzulu...kwa mantiki hiyo kesho baba yako akitolewa "First heading" kwenye gazeti la KIU au IJUMAA (udaku) kwamba kafanya jambo fulani utamtaka ajiuzulu...!!!There should be proven grounds with no doubts kwamba fulani katenda jambo fulani na sio udaku wa vyombo vya habari vimfanye ajiuzulu...kwa mtindo huu kila mtu anayeandikwa na Media atakuwa anajiuzulu...
 
Sijui Ngw'anangwa ungekuwa wewe kwenye ile nafasi halafu kwa taarifa za vyombo vya habari tu kama ungejiuzulu...kwa mantiki hiyo kesho baba yako akitolewa "First heading" kwenye gazeti la KIU au IJUMAA (udaku) kwamba kafanya jambo fulani utamtaka ajiuzulu...!!!There should be proven grounds with no doubts kwamba fulani katenda jambo fulani na sio udaku wa vyombo vya habari vimfanye ajiuzulu...kwa mtindo huu kila mtu anayeandikwa na Media atakuwa anajiuzulu...

Inasikitisha unapoleta SIPMLE REASONING kwenye SERIOUS MATTER kama hii. kwa uwezo wangu mdogo wa kung'amua mambo, nahisi wewe ndo Hosea mwenyewe au mwanae au ndugu wa karibu. Hivi kweli jambo la rushwa kwenye hii serikali ya ccm unaweza ukalifananisha na habari za udaku??? YOU MUST BE A BENEFICIARY OF THIS THING, or YOU ARE OUT OF YOUR MIND. nakushauri ukatafute mzembe wa kufikiria kama wewe ndo um-hadithie hizo cheap thoughts zako.
 
Inasikitisha unapoleta SIPMLE REASONING kwenye SERIOUS MATTER kama hii. kwa uwezo wangu mdogo wa kung'amua mambo, nahisi wewe ndo Hosea mwenyewe au mwanae au ndugu wa karibu. Hivi kweli jambo la rushwa kwenye hii serikali ya ccm unaweza ukalifananisha na habari za udaku??? YOU MUST BE A BENEFICIARY OF THIS THING, or YOU ARE OUT OF YOUR MIND. nakushauri ukatafute mzembe wa kufikiria kama wewe ndo um-hadithie hizo cheap thoughts zako.

umenisaidia..kuna watzania wamesoma ila hawatusaidii..pengine ni hosea.
 
Hosea ana roho ya jiwe, anatafuniwa kaila kitu lakini kumeza hawezi! Kila siku wala rushwa wanatajwa yy badala ya kuzifnyiwa kazi taarifa na kuwakamata watuhumiwa anajipanga kuwalinda. Wabunge walarushwa wametajwa yy anabung'a macho, 27 wanamapesa nje ya nchi, hosea anafunga tai tu, halmashauri watu wanajichotea mapesa hosea kafumba macho na masikio. Hosea anaidhalilsha TAKUKURU, Bila Hosea TAKUKURU wanaweza kazi!
 
Inasikitisha unapoleta SIPMLE REASONING kwenye SERIOUS MATTER kama hii. kwa uwezo wangu mdogo wa kung'amua mambo, nahisi wewe ndo Hosea mwenyewe au mwanae au ndugu wa karibu. Hivi kweli jambo la rushwa kwenye hii serikali ya ccm unaweza ukalifananisha na habari za udaku??? YOU MUST BE A BENEFICIARY OF THIS THING, or YOU ARE OUT OF YOUR MIND. nakushauri ukatafute mzembe wa kufikiria kama wewe ndo um-hadithie hizo cheap thoughts zako.

Wamuzengo hakuna ninachokitetea hapa...ila penye ukweli tuwe tunausema, hivi kweli kazi yote ambayo naishuhudia mimi ikifanywa na TAKUKURU kupitia Media wewe huioni au huna macho, I mean unaona giza kabisa...basi inabidi uwekewe kibatari angalau uweze kuona. Ina maana hao wakubwa tena walio kwenye nafasi za uwaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi wa Taasisi na Halmashauri waliofikishwa mahakamani haikutoshi kuona angalau hawa wenzetu wanafanya kazi...!!!???
Mimi nakuona wewe ndio unatumwa na wanaomchukia Hosea uje kutuletea majungu dhidi yake humu JF...nashauri majungu tuyaache sasa kwani hii FORUM ni kwa ajili ya kujadiliana mambo ya maendeleo na namna nzuri ya kumsaidia wananchi wenzetu kuondokana na umaskini...the one who is out of his mind is you, don't bring accusations without proven grounds...find a better source before telling us your lies...!!!
Na unapoilaumu CCM peke yake kwani hao Chadema huwaoni walivyopelekana mjengoni kiundugu kupitia viti maalum...Baba na mwanaye, shangazi na uhusiano mwingineo tena wote kutoka Kaskazini mbona hujatujuza humu tujadiliane???Rushwa ipo kila mahali na wala sio CCM pekee funguka macho wewe, mzembe wa kufikiri na mwenye cheap thought za kudanganya watanzania ni wewe pimbiiiii...!!!
 
hawa ni watu ambao kila mtu amelikoroga kivyake.

hata hivyo, mmasai ana nidhamu kidogo. alipoona limebumbuluka, yeye alijiengua kwenye reli.

lakini hiki kichwa kinaitwa hosea kila nikifikiria ninashindwa kupata majibu. hosea amekoroga mambo mengi; kama kiongozi muadilifu alipaswa kuwa amejiuzulu siku mingi sana:

-kusafisha richmond
-kusafisha chenge na kashfa ya rada
-wikiliki

lakini jamaa (hosea) bado ana dunda tu.

hii ni zarau au?

Mtanzania hata umchukulie mkewe atanyamaza tu 'Kwa kulinda Amani'
 
Hosea ana roho ya jiwe, anatafuniwa kaila kitu lakini kumeza hawezi! Kila siku wala rushwa wanatajwa yy badala ya kuzifnyiwa kazi taarifa na kuwakamata watuhumiwa anajipanga kuwalinda. Wabunge walarushwa wametajwa yy anabung'a macho, 27 wanamapesa nje ya nchi, hosea anafunga tai tu, halmashauri watu wanajichotea mapesa hosea kafumba macho na masikio. Hosea anaidhalilsha TAKUKURU, Bila Hosea TAKUKURU wanaweza kazi!

Ngandema Bwila inasikitisha kuwa na watanzania ambao bado mpaka sasa they don't understand the rule of Law lakini wanatumia mitandao mikubwa kama hii JF...not all allegations might be true, siamini kama chombo chetu nyeti kama TAKUKURU waone taarifa kwa njia yoyote ile halafu wakae kimya...bali niaminivyo zinaweza kuwa hazina ukweli...lakini nimemsikia bosi wa TAKUKURU akisema anazifanyia kazi hivyo tumpe muda...nasi kama watanzania tujitume kumpatia taarifa zaidi ili atekeleze majukumu yake ipasavyo na sio kumlaumu tu...!!!
Mbona tumeshuhudia mheshimiwa mbunge wa BAHI akikamatwa kwa rushwa kwenye vyombo vya habari...hii inathibitisha jamaa hamuogopi mtu, ninachokiona hapa, hawa jamaa wanahitaji muda wa kukusanya ma-ukweli ili pilato apelekewe watu wanaomstahili...!!!
 
Wamuzengo hakuna ninachokitetea hapa...ila penye ukweli tuwe tunausema, hivi kweli kazi yote ambayo naishuhudia mimi ikifanywa na TAKUKURU kupitia Media wewe huioni au huna macho, I mean unaona giza kabisa...basi inabidi uwekewe kibatari angalau uweze kuona. Ina maana hao wakubwa tena walio kwenye nafasi za uwaziri, makatibu wakuu, wakurugenzi wa Taasisi na Halmashauri waliofikishwa mahakamani haikutoshi kuona angalau hawa wenzetu wanafanya kazi...!!!???
Mimi nakuona wewe ndio unatumwa na wanaomchukia Hosea uje kutuletea majungu dhidi yake humu JF...nashauri majungu tuyaache sasa kwani hii FORUM ni kwa ajili ya kujadiliana mambo ya maendeleo na namna nzuri ya kumsaidia wananchi wenzetu kuondokana na umaskini...the one who is out of his mind is you, don't bring accusations without proven grounds...find a better source before telling us your lies...!!!
Na unapoilaumu CCM peke yake kwani hao Chadema huwaoni walivyopelekana mjengoni kiundugu kupitia viti maalum...Baba na mwanaye, shangazi na uhusiano mwingineo tena wote kutoka Kaskazini mbona hujatujuza humu tujadiliane???Rushwa ipo kila mahali na wala sio CCM pekee funguka macho wewe, mzembe wa kufikiri na mwenye cheap thought za kudanganya watanzania ni wewe pimbiiiii...!!!

utakuwa unatetea mambo usiyojua endelea kuwadanganya wenzio wenye uelewa mfinyu.
 
utakuwa unatetea mambo usiyojua endelea kuwadanganya wenzio wenye uelewa mfinyu.

Kankwale acha kudandia treni kwa mbele naamini unayajua madhara yake...tulikuwa tunajadiliana na wamuzengo sasa kilichokutoa uvunguni sielewi ni kitu gani...haya lakini karibu...!!!
 
Back
Top Bottom