Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
hawa ni watu ambao kila mtu amelikoroga kivyake.
hata hivyo, mmasai ana nidhamu kidogo. alipoona limebumbuluka, yeye alijiengua kwenye reli.
lakini hiki kichwa kinaitwa hosea kila nikifikiria ninashindwa kupata majibu. hosea amekoroga mambo mengi; kama kiongozi muadilifu alipaswa kuwa amejiuzulu siku mingi sana:
-kusafisha richmond
-kusafisha chenge na kashfa ya rada
-wikiliki
lakini jamaa (hosea) bado ana dunda tu.
hii ni zarau au?
hata hivyo, mmasai ana nidhamu kidogo. alipoona limebumbuluka, yeye alijiengua kwenye reli.
lakini hiki kichwa kinaitwa hosea kila nikifikiria ninashindwa kupata majibu. hosea amekoroga mambo mengi; kama kiongozi muadilifu alipaswa kuwa amejiuzulu siku mingi sana:
-kusafisha richmond
-kusafisha chenge na kashfa ya rada
-wikiliki
lakini jamaa (hosea) bado ana dunda tu.
hii ni zarau au?